Nissani extra inauzwa

Micky1989

Member
Jun 5, 2014
31
0
Nissan extra inauzwa bei 17 maongezi yapo
4ab447581f7f2709767decabbecb476a.jpg
142e78b1f94b771baf736436e84575be.jpg
183ac1db4dc38bd4bb9aef59041ef200.jpg
 
Nissan Extra ni toleo la mwaka gani hilo la Nissan?

Halafu mbona imefanana sana na Nissan Extrail?
 
Labda haitumiki toka imesajiliwa.
Bei hiyo huuzi!!!!
Shusha mpaka 7m watu wataku PM
 
Alinunua million 17 miaka 10 iliyopita sasa hivi anataka auze kwa hiyo hiyo million 17 . Bora angenunua kiwanja kama alitaka kuuza kwa faida
 
Huwez uza kwa bei hiyoo...rav4 show room ni mil16 iyo mkononi mil17 labda ukawauzie wakulima wa korosho mtwara mwaka huu wametajirika mno
 
Hiyo ukiagiza mpya mpaka tz ni around mil 15, sasa hiyo imeshatumika tena namba A eti mil 17. Dalali hapo umechemka!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom