Tena no ANo A mil 17? bei yako ipo juu sana
Hahahaah ukali upo wapi hapo? Wamemweleza ukweli dalali.!Punguzeni ukali wa maneno wakuu.
Hiyo kubwa mno. Yani brand hiyo kuna namba c inaenda kwa ten tu! Kwa namba hiyo ukipata wa 6/7 ushukuru sana!Nissan extra inauzwa bei 17 maongezi yapo