Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Habari wana jf,me nimemaliza form six PCM comb,naombeni ushauri,nichukue ipi kati ya hizi COMPUTER SCIENCE,COMPUTER ENGINEERING,il nitoke kibongobongo..
ushauri mwingine wowote kuhusiana na course za chuo zinazolipa unaruhusiwa
Habari wana jf,me nimemaliza form six PCM comb,naombeni ushauri,nichukue ipi kati ya hizi COMPUTER SCIENCE,COMPUTER ENGINEERING,il nitoke kibongobongo..
ushauri mwingine wowote kuhusiana na course za chuo zinazolipa unaruhusiwa
Kama pumzi ipo soma Cisco Certified Network Associate,ukimaliza hyo na ukawa umepata above 85%,ukipenda kuendelea to CCNP sawa au kibongobongo hata ukiishia hapo tu poa
Kazi zitakuwa zinakutafuta
Fanya Computer Science dogo, Computer engineering unapoteza mwaka mzima wa bure na hauwezi kumfikia mtu wa computer science hata kidogo , he will alwayz be ahead(Kama kuna computer engineering anabisha nikutanishe naye humu JF). how to make computer science work for you bongo & arround the globe hyo ni issue ya thread nyingine kama utaamua kuanziasha, I have worked Bongo & Abroad with Computer science.
So allthe best
Fanya Computer Science dogo, Computer engineering unapoteza mwaka mzima wa bure na hauwezi kumfikia mtu wa computer science hata kidogo , he will alwayz be ahead(Kama kuna computer engineering anabisha nikutanishe naye humu JF). how to make computer science work for you bongo & arround the globe hyo ni issue ya thread nyingine kama utaamua kuanziasha, I have worked Bongo & Abroad with Computer science.
So allthe best
Fanya Computer Science dogo, Computer engineering unapoteza mwaka mzima wa bure na hauwezi kumfikia mtu wa computer science hata kidogo , he will alwayz be ahead(Kama kuna computer engineering anabisha nikutanishe naye humu JF). how to make computer science work for you bongo & arround the globe hyo ni issue ya thread nyingine kama utaamua kuanziasha, I have worked Bongo & Abroad with Computer science.
So allthe best
Siku ukijua Cisco ni vendor wa parts za networking, Networking amabayo ni miongoni mwa course zinavyo fundishwa kwenye Computer science, na kukupa general understanding ya OSI, TCP,connection & connectionless n.k,
Utatoa mchango mzuri katika mada kama hizi.
Wabongo hawajatambua umuhimu wa kuwa CERTIFIED. Ukizungumzia suala la kujicertify always you get criticised lakini soko ndio linahitaji hivyo. CCNA, CCNP, MCTS, MCITP etc zina mishahara mikubwa sana hasa katuka international NGOs. Friend of mine ni ICT Manager hakuwa na cha experience wala nini alikuwa na MCITP Enterprise ADministrator akawa ana get USD 3000 mwaka juzi per month. plus kila mwaka kuna nyongeza ya mishahara unafikiri yuko wapi nowKama pumzi ipo soma Cisco Certified Network Associate,ukimaliza hyo na ukawa umepata above 85%,ukipenda kuendelea to CCNP sawa au kibongobongo hata ukiishia hapo tu poaKazi zitakuwa zinakutafuta
Naona umetishwa na Jina, curriculum yako ya bongo haireflect Jina hilo, so kama una urguments zaidi let me know am up 4 that, so let`s do ithivi unajua nini maana ya computer engineering?
Cyclone kuna utofauti wa computer engineering na computer science,nafikiri ungempa utofautiwake ili yy awe kwenye nafasi nzuri ya kuchagua wote tungesoma computer science watu wa kudevelop circuit wangetoka wapi?kila somo lina umuhimu wake na nafasi yake ndo maana yakawepo na kazi mnafanya sehem moja but ikifika kazi za hardware part designing ndo utaona umuhimu wa engineering coz huko ningdo unasoma deep zaidi jinsi ya kudesign na kuiprogram,inapofika soko la ajira wote mtashindana ila inategemea na sehem madhalani chukulia kwenye mitandao ya simu upande wa kudesign towers na setting zake engineers wanaplay part kubwa
Tried but not that smart,
What you are saying can be true,keep in mind its also true how much these certification hit the market.
Mifano hai ipo
Ni mtazamo tu
Mtoa mada atafanya maamuzi.
Wabongo hawajatambua umuhimu wa kuwa CERTIFIED. Ukizungumzia suala la kujicertify always you get criticised lakini soko ndio linahitaji hivyo. CCNA, CCNP, MCTS, MCITP etc zina mishahara mikubwa sana hasa katuka international NGOs. Friend of mine ni ICT Manager hakuwa na cha experience wala nini alikuwa na MCITP Enterprise ADministrator akawa ana get USD 3000 mwaka juzi per month. plus kila mwaka kuna nyongeza ya mishahara unafikiri yuko wapi now
Wabongo hawajatambua umuhimu wa kuwa CERTIFIED. Ukizungumzia suala la kujicertify always you get criticised lakini soko ndio linahitaji hivyo. CCNA, CCNP, MCTS, MCITP etc zina mishahara mikubwa sana hasa katuka international NGOs. Friend of mine ni ICT Manager hakuwa na cha experience wala nini alikuwa na MCITP Enterprise ADministrator akawa ana get USD 3000 mwaka juzi per month. plus kila mwaka kuna nyongeza ya mishahara unafikiri yuko wapi now
Nafikiri suala la kuwa certified umelielezea katika hali isiyotoa picha halisi, kuna tofauti kubwa ya mtu aliye certify kama form 6 leaver na yule mwenye bachelor.
Kijana anahitaji msingi na vizuri akianza na chochote kati ya hivyo alivyotaja baada ya hapo ndio afanye certification kulingana na interest yake au mahitaji ya wakati husika.
Ushauri wangu: B.E in computer Science (Indian style) utapata average of the two
Believe me kuna company nyingine wanataka uwe certified na cisco tu regardless una computer science degree on not
Nawasilisha