NISIPOMWONA KAZI HAZIENDI kwa mke je?

MTWA

JF-Expert Member
Aug 5, 2009
1,166
166
Baada ya visa vichache vilivyotokea siku za usoni kutoka kwa mke wangu na kujikuta maganzi na faraja zimepungua, Imenitokea tu nampenda sana dada mmoja ambaye ninafanya naye kazi. Nilikuwa nampenda tu kawaida lakini sasa nimepata hisia za kimapenzi sana na yeye, japo alikuwa hajajua lakini sasa ameshagundua.

Nimejitahidi kumkwepa ili hisia zangu zipite lakini nisipomwona tu sina raha kabisa, ila akija hata akae tu kidogo kwenye ofisi yanggu basi siku nzima nafanya kazi kwa raha sana.
sasa naogopa hata kumwambia kuwa nampenda japo alishagundua hali, na pia nikimwambia tukaingia mahusiano inaweza kuleta mgogoro.
nafikiria kuufanya uwe uhusiano wa siri sana na zaidi ikiwezekana uwe wa kawaida. KWA WATAALAMU, JE INA HATARI KUBWA KAMA INAVYO NITETEMESHA MIE
 
Kama mchangiaji wa kwanza katika hii mada yako naweza kukueleza tu kuwa unataka kuanza uhuni sasa, kwa nini usikae chini na mkeo mkazungumza tofauti zenu kabla ya kumfikiria huyo mwingine?....Nitaendelea kuwepo.......
 
Mhuuu, Asante kwa ushauri wako, suala la kuanza uhuni ndo linanipasua kichwa na kudelay mpango huo
Kama mchangiaji wa kwanza katika hii mada yako naweza kukueleza tu kuwa unataka kuanza uhuni sasa, kwa nini usikae chini na mkeo mkazungumza tofauti zenu kabla ya kumfikiria huyo mwingine?....Nitaendelea kuwepo.......
 
Kama mchangiaji wa kwanza katika hii mada yako naweza kukueleza tu kuwa unataka kuanza uhuni sasa, kwa nini usikae chini na mkeo mkazungumza tofauti zenu kabla ya kumfikiria huyo mwingine?....Nitaendelea kuwepo.......
halafu jingine ni kwamba ndoa yangu ni ya kikristo, hairuhusu mwanya wa taraka, ukiongea ni mwendo huo huo yeye hana ile need ye kuDO mara kwa mara wakati mzee Oh!!
 
Mkuu hapo jua pepo la uzinzi lishakukamata, lakini si vibaya ukilipa uwanja kidogo lijidai halafu ndio ulikemee!!!!:A S 13:
 
Achana na hayo mawazo, unaweza kupotelea kabisa huko.................... nakusihi sana achana na hiyo kitu
kwanza yeye kagunduaje wakati hujamwambia?
 
halafu jingine ni kwamba ndoa yangu ni ya kikristo, hairuhusu mwanya wa taraka, ukiongea ni mwendo huo huo yeye hana ile need ye kuDO mara kwa mara wakati mzee Oh!!



Aha,kumbe tatizo ndio hilo!Basi jitahidi kumuweka katika mood ya ku Do hata kama hapendi jaribu kutumia njia nzuri na utaweza kufurahia na mkeo,kuwa mbunifu maana sidhani kama kuna kiumbe kamili asiyependa hiyo kitu ni suala la kuwekana sawa tu,ilishanitokea mimi kuwa na mtoto ambaye alikuwa hapendi kabisa hayo mambo lakini baada ya kumfundisha mimi mwenyewe nilikuwa natamani kumkimbia.
 
Unajua before alikuwa hana mazoea nami kuja na kukaa kuchat, lakini kwa sasa tunaweza kukaa na kuchat sana, kwa mda tofauti na zamani.
Anaanza kuwa huru zaid na hata kukaa ktk meza yangu nikitoka.
lakini kubwa ni kuogopa mara baada ya kupotelea mhuuu Itakuwa aibu sana
Achana na hayo mawazo, unaweza kupotelea kabisa huko.................... nakusihi sana achana na hiyo kitu
kwanza yeye kagunduaje wakati hujamwambia?
 
Aha,kumbe tatizo ndio hilo!Basi jitahidi kumuweka katika mood ya ku Do hata kama hapendi jaribu kutumia njia nzuri na utaweza kufurahia na mkeo,kuwa mbunifu maana sidhani kama kuna kiumbe kamili asiyependa hiyo kitu ni suala la kuwekana sawa tu,ilishanitokea mimi kuwa na mtoto ambaye alikuwa hapendi kabisa hayo mambo lakini baada ya kumfundisha mimi mwenyewe nilikuwa natamani kumkimbia.
Aroo wewe ni mkareeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Aha,kumbe tatizo ndio hilo!Basi jitahidi kumuweka katika mood ya ku Do hata kama hapendi jaribu kutumia njia nzuri na utaweza kufurahia na mkeo,kuwa mbunifu maana sidhani kama kuna kiumbe kamili asiyependa hiyo kitu ni suala la kuwekana sawa tu,ilishanitokea mimi kuwa na mtoto ambaye alikuwa hapendi kabisa hayo mambo lakini baada ya kumfundisha mimi mwenyewe nilikuwa natamani kumkimbia.
Ah hebu nifundishe kidogo inakuwa je wewe tena utamani kukimbia!
Mimi naona kama hawa watu wanapenda tu kutuona ila hawana pumzi za kutosha, nikafikiri labda ukawa na part time fulani vile lakini baadaye du! hatari yake, ndo maana najua kuna wataalam JF nitajua nijaji nini
 
Achana na hayo mawazo, unaweza kupotelea kabisa huko.................... nakusihi sana achana na hiyo kitu
kwanza yeye kagunduaje wakati hujamwambia?

Hapo penye ntekundu ndio pana utata FP, huyu jamaa ashajirusha na huo mzigo sasa anatafuta jinsi ya kuhalalisha tu... mkuu asali hailambwi mara moja!!!!!... :A S 13:
 
Hapana utata ndugu kama una wazo nakuomba, JF siji kuwajaribu. Hivi leo ndo nimejikuta pengine uelekeo unaweza kuwa unazidi kuelekea mbali zaidi maana alikuwa mbaaali sana nami lakini hadi kufikia kila nikitoka yu mezani kwangu. Ila hata outing sijawahi kutoka naye, ila kwa mara ya kwanza ndo nilitaka labda weekend hii nimtoe out kidogo or nimtembelee kwake maana yu single!!! sasa uamuzi wa kunyoa au ....:decision:
Hapo penye ntekundu ndio pana utata FP, huyu jamaa ashajirusha na huo mzigo sasa anatafuta jinsi ya kuhalalisha tu... mkuu asali hailambwi mara moja!!!!!... :A S 13:
 
Duh mzee huko unakoelekea siyo kabisaaaaaaaaaaaa. I am sure baada ya kufanya hilo unalolitamani utajilaumu sana........halafu kibaya ni kwamba it does not stop with the first time, manake utaendelea na kuendelea hadi utakamatwa. Hebu kaa chini na mamaa muyaongee matatizo yenu.
 
Ah hebu nifundishe kidogo inakuwa je wewe tena utamani kukimbia!
Mimi naona kama hawa watu wanapenda tu kutuona ila hawana pumzi za kutosha, nikafikiri labda ukawa na part time fulani vile lakini baadaye du! hatari yake, ndo maana najua kuna wataalam JF nitajua nijaji nini




Hiyo sasa ni mada nyingine mkuu,we ulichouliza ni kuhusu huyo unayetaka kuanza naye mahusiano wakati una mkeo lakini ukitaka kujua jinsi ya kumleta mkeo kwenye mood yako nipe muda nitakusaidia ni suala dogo sana na tutasaidiana,ila usifikirie kabisa kutoka nje ya ndoa kwani kwa jinsi ulivyoelezea hapo ni kuwa huyo binti mwingine ameshaona dalili za wewe kumtaka na atafanya kila njia azibe hiyo nafasi kitu ambacho kinaweza kukuangamiza huko mbele ya safari.
 
huyu kuna unafuu wa jambo anatafuta angalieni msimtumbukize matatizoni cha muhimu wakae na mkewe waelewane hakuna ndoa zilizotulia milele mpaka hata marais wana pesa ila ndoa zao zina migogoro asidhani kwamba alifunga ndoa so ategemee kila siku ni raha tu no kuna milima na mabonde kwenye ndoa
Hiyo sasa ni mada nyingine mkuu,we ulichouliza ni kuhusu huyo unayetaka kuanza naye mahusiano wakati una mkeo lakini ukitaka kujua jinsi ya kumleta mkeo kwenye mood yako nipe muda nitakusaidia ni suala dogo sana na tutasaidiana,ila usifikirie kabisa kutoka nje ya ndoa kwani kwa jinsi ulivyoelezea hapo ni kuwa huyo binti mwingine ameshaona dalili za wewe kumtaka na atafanya kila njia azibe hiyo nafasi kitu ambacho kinaweza kukuangamiza huko mbele ya safari.
 
Duh mzee huko unakoelekea siyo kabisaaaaaaaaaaaa. I am sure baada ya kufanya hilo unalolitamani utajilaumu sana........halafu kibaya ni kwamba it does not stop with the first time, manake utaendelea na kuendelea hadi utakamatwa. Hebu kaa chini na mamaa muyaongee matatizo yenu.

Ushauri mzuri....sina la kuongeza......:wink2:
 
''nafikiria kuufanya uwe uhusiano wa siri sana na zaidi ikiwezekana uwe wa kawaida. KWA WATAALAMU, JE INA HATARI KUBWA KAMA INAVYO NITETEMESHA MIE''

Eti siri? Siri gani wakati tayari umeshaiingiza humu? Endelea tu na ufukunyuku wako?
 
Baada ya visa vichache vilivyotokea siku za usoni kutoka kwa mke wangu na kujikuta maganzi na faraja zimepungua, Imenitokea tu nampenda sana dada mmoja ambaye ninafanya naye kazi. Nilikuwa nampenda tu kawaida lakini sasa nimepata hisia za kimapenzi sana na yeye, japo alikuwa hajajua lakini sasa ameshagundua.

Nimejitahidi kumkwepa ili hisia zangu zipite lakini nisipomwona tu sina raha kabisa, ila akija hata akae tu kidogo kwenye ofisi yanggu basi siku nzima nafanya kazi kwa raha sana.
sasa naogopa hata kumwambia kuwa nampenda japo alishagundua hali, na pia nikimwambia tukaingia mahusiano inaweza kuleta mgogoro.
nafikiria kuufanya uwe uhusiano wa siri sana na zaidi ikiwezekana uwe wa kawaida. KWA WATAALAMU, JE INA HATARI KUBWA KAMA INAVYO NITETEMESHA MIE

Yaani baba nanihii unataka kunisaliti tena?? Kwani nimekunyima mara ngapi kwa wiki? yaani kukosa hizo siku mbili tu ilhali siku tano zote nakupa umeona shida? Haya bwana we rudi tu nyumbani maana naona unampango wa kufanya nonino yangu iwe kama kapu la mama. lol
 
Baada ya visa vichache vilivyotokea siku za usoni kutoka kwa mke wangu na kujikuta maganzi na faraja zimepungua, Imenitokea tu nampenda sana dada mmoja ambaye ninafanya naye kazi. Nilikuwa nampenda tu kawaida lakini sasa nimepata hisia za kimapenzi sana na yeye, japo alikuwa hajajua lakini sasa ameshagundua.

Nimejitahidi kumkwepa ili hisia zangu zipite lakini nisipomwona tu sina raha kabisa, ila akija hata akae tu kidogo kwenye ofisi yanggu basi siku nzima nafanya kazi kwa raha sana.
sasa naogopa hata kumwambia kuwa nampenda japo alishagundua hali, na pia nikimwambia tukaingia mahusiano inaweza kuleta mgogoro.
nafikiria kuufanya uwe uhusiano wa siri sana na zaidi ikiwezekana uwe wa kawaida. KWA WATAALAMU, JE INA HATARI KUBWA KAMA INAVYO NITETEMESHA MIE
Sasa baba uhusiano wa siri sana halafu uwe wa kawaida hapa kama umetuchanganya.Ok simple like this,usitafakari wala kuchukua hatua.Kama anakuja anakaa kaa kwenye meza yako weka upupu komesha kabisa yeye!!

 
Back
Top Bottom