Emanuel Makofia JF-Expert Member Jan 5, 2010 3,832 630 Feb 11, 2010 #1 Mh.mm nakuambia usijali nitamaliza mambo. Si unajua vimbwanga vyangu nikiona vp natoa mach.....i najua watashangilia. Attachments PMS 478.jpg 33.4 KB · Views: 101
Mh.mm nakuambia usijali nitamaliza mambo. Si unajua vimbwanga vyangu nikiona vp natoa mach.....i najua watashangilia.
PakaJimmy JF-Expert Member Apr 29, 2009 16,203 8,723 Feb 11, 2010 #2 Inaelekea kweli huyu MPP anasema hivyo! Pinda hamwezi msanii EL...NEVER, atakuwa mtu wa ma'YES meengi!
Inaelekea kweli huyu MPP anasema hivyo! Pinda hamwezi msanii EL...NEVER, atakuwa mtu wa ma'YES meengi!
Fidel80 JF-Expert Member May 3, 2008 21,947 4,444 Feb 11, 2010 #3 Hehehehe duh tajiri na maskini toka lini wakapikika chungu kimoja hapo wizi mtupu.
FirstLady1 JF-Expert Member Jul 29, 2009 16,792 5,373 Feb 11, 2010 #4 Mheshimiwa anaomba wagawane 50% za Richmond
Bigirita Platinum Member Feb 12, 2007 15,986 7,366 Feb 11, 2010 #5 mtoto wa mkulima na mtoto wa ng'ombe...alaaa, samahani, mtoto wa mfugaji!