Hongera sana.
Bishanga na mimi leo nimejifaragua nikafungua uzi jukwaa la siasa title.........'watanzania wenzangu '.....nimejikakamua kweli nyie acheni tu.
niambie baby kipindi unaiPost ulikuwa nchi gani? mwarabu wa katerero
Bishanga na mimi leo nimejifaragua nikafungua uzi jukwaa la siasa title.........'watanzania wenzangu '.....nimejikakamua kweli nyie acheni tu.
Ndugu yangu Rutta,masikhara pembeni tuweke,industry ya afya ina generate billions of money na matokeo yake kuna umafia mkubwa sana.Majuzi tu smithclyde glascome kampuni kubwa ya UK majuzi imepigwa faini kubwa marekani kwa ufisadi,bongo kwetu hapa madudu ya ajabu pia yanaendelea kaka,tusilaumu tu,tuchunguze,kama wamarekani wanaingizwa mjini.........
Bishanga umenichekesha hadi basi, mie nadhani kuna siku huwa unakula akili kabla ya kuingia hapa.
Ngoja nikaucheki afu nikomenti lol
niambie baby kipindi unaiPost ulikuwa nchi gani? mwarabu wa katerero
Kajitoa kimasomaso leo, wachangiaji wengi pia
Bishanga na mimi leo nimejifaragua nikafungua uzi jukwaa la siasa title.........'watanzania wenzangu '.....nimejikakamua kweli nyie acheni tu.
Bishanga umenichekesha hadi basi, mie nadhani kuna siku huwa unakula akili kabla ya kuingia hapa.
Ngoja nikaucheki afu nikomenti lol
watashangaa ule uzi unakuwa na comment elfu kidogo, kumbe chit chat imehamia si hasa.
Mie si nshakusifia?.....twende basi ukajibu masuali yako!