BUMIJA
JF-Expert Member
- Oct 19, 2011
- 5,818
- 11,000
Jamaaa mmoja alikua katoka klabu kalewa chakari,na alipofika kwake alikua ameweka konyagi kwenye mifuko yake ya nyuma.Mara akawa ameshikilia funguo na kuanza kufungua mlango,akawa anahangaika sana na ndipo jirani yake alipoamua kuja kumsaidia na akamuuliza kwani tatizo nini,akasema najaribu kufungua lakini nyumba inacheza naomba iushike vizuri itulie