Nishikie nyumba

BUMIJA

JF-Expert Member
Oct 19, 2011
5,818
11,000
Jamaaa mmoja alikua katoka klabu kalewa chakari,na alipofika kwake alikua ameweka konyagi kwenye mifuko yake ya nyuma.Mara akawa ameshikilia funguo na kuanza kufungua mlango,akawa anahangaika sana na ndipo jirani yake alipoamua kuja kumsaidia na akamuuliza kwani tatizo nini,akasema najaribu kufungua lakini nyumba inacheza naomba iushike vizuri itulie
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom