2@ BADILI TABIA.. Asante sana kwa ushauri. MIMI nimejishusha na nimeanzisha mawasiliano nasubiri kuona changes.
@ Likwanda mm nina miaka 21 na yeye anamika 24
nyie watoto bado,hamjakomaa.mkazane kusoma kwanza@ Likwanda mm nina miaka 21 na yeye anamika 24