mbisom ramos
JF-Expert Member
- Dec 5, 2011
- 811
- 393
Nina mpnz wangu nampenda sana,nampatia kila kitu anachotaka ila nashindwa kuamini kama ananipenda kweli kwani tabia zake hazieleweki! kwangu anakuja akiwa na shida 2,wakati mwingne anaongea na wanaume zake mbele yangu,pia kuna uvumi kuwa amepiga picha za utupu na zishasambaa....!!!! nashindwa jamani