hana haya huyu! anasema kabisa nataka niingie chumbani kwako! anasema saingine nataka niende toilet lkn ctak toilet ya nje nataka ya chumban kwako!
Mambo mengine ni umri, bado uko kwenye steji ya kudeka.
Unajikanganya, mara useme umeshazoea matusi ya mama mkwe, mara useme mnaishi vizuri na wifi zako, mara wifi anakupekua.
Am too old for this aisee.[/
cjapekuliwa na wifi angu hata cku moja! hujaelewa wapi kwengine?
hana haya huyu! anasema kabisa nataka niingie chumbani kwako! anasema saingine nataka niende toilet lkn ctak toilet ya nje nataka ya chumban kwako!
thx ndugu yangu! cku ile alipofungua walet yangu nlishtuka na kujikuta namwambia "hapana mama usifungue ifunge" akacheka anasema unaogopa nn???unadhan ntakufumania! da! nlikaa kimya tu
hapo ushauri ni kuhama
kwenda kuishi mbali na huyo 'mwehu'
hivyo sio visa
huyo ni mgonjwa.....mumeo angekuwa muelewa
mngempeleka hospitali kwanza
we kongosho uwe unasoma vzur thread za watu sio unakurupuka anaepekua pochi sio wifi soma tena usikurupuke kama bao la kwanza
kwa ushirikina ndo mwenyewe haswaa! anayapenda sana! amemloga mumewe hadi basi lkn Mungu mkubwa atanisaidia