Kwa ccm kuonesha (walau kama gesture) kutambua tatizo la umeme ni vizuri kwanza wamtose Ngeleja! Hakuna mtu mwenye imani na huyu Waziri.
Kwa wanaojua, nini kitatokea kama bajeti ya Wizara itakataliwa?
Jamani huu ni mwaka wa ngapi umeme ni wa wasiwasi? Badala ya kumtoa sadaka mtu mmoja natamani magamba wote wangepigwa chini.