MVUMBUZI
JF-Expert Member
- Jan 8, 2011
- 5,182
- 2,304
Kwa ccm kuonesha (walau kama gesture) kutambua tatizo la umeme ni vizuri kwanza wamtose Ngeleja! Hakuna mtu mwenye imani na huyu Waziri.
Kwa wanaojua, nini kitatokea kama bajeti ya Wizara itakataliwa?
Jamani eeh! Ngeleja ni golikipa tu wa hii wizara ila uwanjani wapo wengi walioboronga na kusababisha Ngeleja kuachia magoli . Cha muhimu hapa kipenga kipulizwe mechi imalizike na kila mchezaji awajibishwe kwa kucheza kizembe akiwemo mwaamuzi kushindwa kusimamia mechi(JK). Mechi hii ipigwe siku nyingine ambayo wachezaji watakuwa fiti kutumia akili zao na si kucheza kama walevi na watu wenye mtindio wa ubongo.