Nikupateje
JF-Expert Member
- Dec 22, 2009
- 1,334
- 988
Hoja ya wapinzani inaelekea kupita kwamba wizara ya Ngeleja kuelemewa na vyote nishati na madini.
Waziri mkuu sasa amekubali kwamba hili litapelekwa kwa rais kuangalia kutenganishwa wizara za MADINI na NISHATI.
Heko John Cheyo aliye_analyse kwamba hata hotuba ya Ngeleja ya leo ilitumia dakika 5 tu kwa madini.
Heko kambi nzima ya upinzani.
Waziri mkuu sasa amekubali kwamba hili litapelekwa kwa rais kuangalia kutenganishwa wizara za MADINI na NISHATI.
Heko John Cheyo aliye_analyse kwamba hata hotuba ya Ngeleja ya leo ilitumia dakika 5 tu kwa madini.
Heko kambi nzima ya upinzani.