TECHMAN
JF-Expert Member
- May 20, 2011
- 2,651
- 1,125
.What do they care...ili mradi yeye afike!
Some but not all who doesnt care.
.What do they care...ili mradi yeye afike!
tafadhali mulama kama una majibu ya matatizo yangu weka hapa,huwezi jua utakuwa umesaidia wangapi wanaokufa na tai zao shingoni
Ndugu Jestina naona huna tatizo lolote unataka mada kwenye jf. Nimekuelewa ila nasikitika nina miiko ya kazi na maadili ya kuzaliwa vitu vya kuongea adharani nachagua sana.
nahisi nina sehemu ndogo sana inayonifanya nifikie mshindo hivyo mara nyingi nikikutana na wanaume wanaimiss hii sehemu kwa udogo wake! wakati wanathrush ndio maana nikaconclude ni tatizo la kimaumbile
huna tatizo, hujapata anayejua kukuna. Na ww hujui ukikunwa wapi wajisikia raha ili umsaidie patna wako? Au hujui ukikaa vp mkunaji anafikia upele kwa urahs na kuutumbua?
Umejuaje kama ni wewe ndo mwenye tatizo na kwamba si hao boyfriends wako walikuwa hawajui namna ya kukufikisha? Sidhani kama kweli ukipata mtaalamu mzuri utashindwa kufika. Ni Pm nikupe ushauri wa kibiolojia.