Nisaidieni

Double K

JF-Expert Member
Aug 1, 2012
907
340
Mimi ni msichana nina 26 years, nina boyfriend wangu tumeanzana tokea chuo lakini huwa haonekani kunijali ananitafuta akiwa na shida zake za............, nilimsemaga akajirekebisha kidogo, badae tukawa tunaongelea mipango ya ndoa na akasema ataenda kuongea kwao, alirudi ananiambia kwamba mama yake anataka mtu wa kabila lake (mkurya) lakini anasema yeye ananipenda nisihofu nisubirie labda mama yake atabadilika. msimamo wake kutwa ni visingizio mama anaumwa, sijui kazi anatoka usiku, simu yenyewe napigiwa jumamosi akiwa na shida hata sielewi na ananigagania eti nisimwache na hataki hata niwe na mtu ananifatilia kweli. naombeni ushauri je huyu mtu ananipenda hajui kuonyesha mapenzi au ananipotezea mda, na suala la mama kweli anaweza kubadilika au changa la macho?
 
Hakupendi huyo anataka mbuchu yako kama uko tayari endelea kumgawia labda unampa vizuri kuliko huko kwingine..... mengine akili kumkichwa dada!
 
Mimi ni msichana nina 26 years, nina boyfriend wangu tumeanzana tokea chuo lakini huwa haonekani kunijali ananitafuta akiwa na shida zake za............, nilimsemaga akajirekebisha kidogo, badae tukawa tunaongelea mipango ya ndoa na akasema ataenda kuongea kwao, alirudi ananiambia kwamba mama yake anataka mtu wa kabila lake (mkurya) lakini anasema yeye ananipenda nisihofu nisubirie labda mama yake atabadilika. msimamo wake kutwa ni visingizio mama anaumwa, sijui kazi anatoka usiku, simu yenyewe napigiwa jumamosi akiwa na shida hata sielewi na ananigagania eti nisimwache na hataki hata niwe na mtu ananifatilia kweli. naombeni ushauri je huyu mtu ananipenda hajui kuonyesha mapenzi au ananipotezea mda, na suala la mama kweli anaweza kubadilika au changa la macho?

Hapo mnatofautiana malengo tu
Wewe unataka mahusiano yenu yaelekee kwenye ndoa. Kijana amekuwa wazi na matarajio yako (soma jibu lake hapo kwa red). Huyo mama yake mnaishi naye karibu kiasi kwamba atakuona tabia zako kisha abadilishe msimamo wake?

Ushauri wangu: kama unahitaji kut.... tu endelea naye huyo kaka maana umesema na yeye anakutafutaga tu akitaka hiyo huduma. Ila mdogo wangu kama unahitaji ndoa shtuka, hujachelewa bado!
 
Hakupendi huyo anataka mbuchu yako kama uko tayari endelea kumgawia labda unampa vizuri kuliko huko kwingine..... mengine akili kumkichwa dada!
Haswa msaidieni na hata ukimwandikia PM ili mumfunde huyu mwali ili afundike itakuwa siyo vibaya.
 
hivi haya mambo ya kabila bado yapo duh! hivyo ni visingizio tu ili aendelee kukuchezea ila hakupendi kabisa. chukua time zako wanaume ni wengi hasa ukijiheshimu lakini heshima ni 0 loh utaendelea kuchezewa sana. take care bidada.
 
Hapo mnatofautiana malengo tu
Wewe unataka mahusiano yenu yaelekee kwenye ndoa. Kijana amekuwa wazi na matarajio yako (soma jibu lake hapo kwa red). Huyo mama yake mnaishi naye karibu kiasi kwamba atakuona tabia zako kisha abadilishe msimamo wake?

Ushauri wangu: kama unahitaji kut.... tu endelea naye huyo kaka maana umesema na yeye anakutafutaga tu akitaka hiyo huduma. Ila mdogo wangu kama unahitaji ndoa shtuka, hujachelewa bado!

Mito nimetafuta like nimekosa ila well done. Tatizo wadogo zetu siku hizi hawasikii utaseme mpaka mtu unachoka sasa sijui hapo anataka ambiwe nini ili ashtuke.
 
Hakupendi huyo anataka mbuchu yako kama uko tayari endelea kumgawia labda unampa vizuri kuliko huko kwingine..... mengine akili kumkichwa dada!

Sidhani hapo kwa red Chauro, ingekuwa hivyo wala asingemwambia jibu la mama yake, angepambapamba tu kiaina ili asimkatishe tamaa, halafu then mwanaume angejipanga kumuoa kimya kimya bila hata idhini ya mama yake, chezea mwanaume akishapenda!

Hapo ni kwamba she is cheap and available ndo maana kijana haendi kwingine
 
Tengeneza maisha yako kwanza, yakiwa bomba ndiyo ijiingize ktk mapenzi, hakuna mwanaume atakayekuyumbisha.
 
hivi haya mambo ya kabila bado yapo duh! hivyo ni visingizio tu ili aendelee kukuchezea ila hakupendi kabisa. chukua time zako wanaume ni wengi hasa ukijiheshimu lakini heshima ni 0 loh utaendelea kuchezewa sana. take care bidada.

Sorry, Hivi anachezewa au wanachezeana
Shtuka mdada anakugeuza pozeo.....
 
wadada wanataka tu kuolewa siku izi, ndo maana nimeamua sitaki long term relationships, mambo ya kulazimishwa kuoa........jamaa hajaamua tu kukuoa, wala hana malengo na wewe, sana sana anataka kipochi manyoya chako tena si ajabu ana sehemu nyingine anayopunguzia stress unazomsumbua
 
Anakupozea muda wako bure dada kimbia haraka kabla hujajuta.
 
Mimi ni msichana nina 26 years, nina boyfriend wangu tumeanzana tokea chuo lakini huwa haonekani kunijali ananitafuta akiwa na shida zake za............, nilimsemaga akajirekebisha kidogo, badae tukawa tunaongelea mipango ya ndoa na akasema ataenda kuongea kwao, alirudi ananiambia kwamba mama yake anataka mtu wa kabila lake (mkurya) lakini anasema yeye ananipenda nisihofu nisubirie labda mama yake atabadilika. msimamo wake kutwa ni visingizio mama anaumwa, sijui kazi anatoka usiku, simu yenyewe napigiwa jumamosi akiwa na shida hata sielewi na ananigagania eti nisimwache na hataki hata niwe na mtu ananifatilia kweli. naombeni ushauri je huyu mtu ananipenda hajui kuonyesha mapenzi au ananipotezea mda, na suala la mama kweli anaweza kubadilika au changa la macho?

Hapo penye bold panaonyesha wazi kuwa anakutumia kwa haja zake binafsi na hana upendo na wewe hata chembe! Imagine mtu ambaye hakupigii simu, hakujali anakurupuka tu siku akiwa na hamu unaweza kuishi naye kweli? Au ndo utaishia kufungiwa ndani baada ya ndoa huku ukipigwa mingumi kwa makosa usiyo stahili?
Tafakari!
 
pole sana mdada mbaya zaidi si zani kama wakurya unawapata vizuri kwani ndio wanausalama walio wengi hapa TZ
hii ina maanisha utakapo olewa jiandae na plasta box 8,bandegi box 6, spirit chupa 4 na dawa za kupunguza maumivu mchanganyiko za jumla.
ila usikate tamaa kama una mpenda sanaa basi jaribu kumwambia ki2gani ambacho hupendi toka kwake uwe mwazi muambie vyote usi mfiche hata kimoja even mambo za GgiGgi
 
hajieewi huyo!!!!!!!! kwani we utaenda kuishi na mama yake!! anakudanganya live bila chenga!! mwambie akakutambulishe uone mama atareact vp!!
 
Mrembo pole sana! Tafuta mtu mwingine, siwezi kukufariji kuwa mapenzi yenu yatafika unapo tarajia, kwanza yameshaingiliwa na mama mkwe! Stuka mrembo.
 
Mimi ni msichana nina 26 years, nina boyfriend wangu tumeanzana tokea chuo lakini huwa haonekani kunijali ananitafuta akiwa na shida zake za............, nilimsemaga akajirekebisha kidogo, badae tukawa tunaongelea mipango ya ndoa na akasema ataenda kuongea kwao, alirudi ananiambia kwamba mama yake anataka mtu wa kabila lake (mkurya) lakini anasema yeye ananipenda nisihofu nisubirie labda mama yake atabadilika. msimamo wake kutwa ni visingizio mama anaumwa, sijui kazi anatoka usiku, simu yenyewe napigiwa jumamosi akiwa na shida hata sielewi na ananigagania eti nisimwache na hataki hata niwe na mtu ananifatilia kweli. naombeni ushauri je huyu mtu ananipenda hajui kuonyesha mapenzi au ananipotezea mda, na suala la mama kweli anaweza kubadilika au changa la macho?

MAKAVU LIVE:Huyo jamaa yako hana msimamo, au kwa maana nyingine ni DHAIFU na kuhusu hapo kwenye red, kaa ujue kuwa huyo mama yake KAMWE HATOKUKUBALI!HAO WAKISEMAGA WANAMAANISHA! I know these people oooo, NAKUSHAURI KAMA NIA YAKO NI KUWA NA MPENZI AMBAYE MTAJENGA FAMILIA BASI BORA UTAFTE MWANAUME MWINGINE HUYO HAKUFAI!I am talking WITH EXPERIENCE. SAMAHANI KAMA NIMEKU(WA)KWAZA
 
Huyo ni type fulani ya wavulana wanaojulikana kama "mbunye Oriented boyz" kimbia dada umri unaenda atakuchelewesha bure coz siku hizi ndoa zina age interval yake ukivuka umri huo soko lako litapungua dia.
 
Back
Top Bottom