Nisaidieni

tatizo sio tofauti ya miaka,
wewe una miaka mingapi naye anamiaka mingapi,
hiyo ndio ishu naiona hapa
+/- 7 is not an issue
 
kupenda upende wewe,sisi tukuamulie,mbona haingii akilini?jee mwanzo hukumuona kama mkubwa?amua wewe mwenyewe
 
Katika hali ya kawaida... na in the case ya ndoa... age ni muhimu
saaana kuichukulia in consideration.. But hata hivo age pake yake
haitoshelezi maamuzi, for kuna factors na aspects zingine za muhimu
ambazo huenda sambamba... kama hizo the later zina nguvu saana
then hata age yaweza kua very minor...
 
Katika hali ya kawaida... na in the case ya ndoa... age ni muhimu
saaana kuichukulia in consideration.. But hata hivo age pake yake
haitoshelezi maamuzi, for kuna factors na aspects zingine za muhimu
ambazo huenda sambamba... kama hizo the later zina nguvu saana
then hata age yaweza kua very minor...

Sawa AshaDii,

Ila kwangu age ni factor ya muhimu sana...iko kwenye top 3 criteria!!

Kama ningerudishwa kwenye game la kuchagua wachumba...never ever, nisingeweza kuoa dada ambaye tunalingana achilia mbali kunizidi umri!!

Sie tulio kwenye game kwa zaidi ya muongo mmoja tunajua maana yake.....!!
 
Sawa AshaDii,

Ila kwangu age ni factor ya muhimu sana...iko kwenye top 3 criteria!!

Kama ningerudishwa kwenye game la kuchagua wachumba...never ever, nisingeweza kuoa dada ambaye tunalingana achilia mbali kunizidi umri!!

Sie tulio kwenye game kwa zaidi ya muongo mmoja tunajua maana yake.....!!


Mzee DC ukiangalia in between post yangu utakuta kua uloongea nalo nakubali... but sometimes kuna forces zingine ambazo zina nguvu kuliko kupishana kwa age... What do you do unakuta kua Mkaka ana mahusiano mazuri saana na mwanamke ambae kamzidi lets say four years i.e 30 years Vs 34... Hawa watu wana mahusiano maybe for more than two years... na wao wako compactible kasoro tu ukija issue ya age... Kwamba waachane tu sababu mwanamke ni mkubwa kuliko???

If you don't mind haka ka ubongo kako very curious kujua the rest ya hio top three criteria....

Habari yako bana....
 
Mzee DC ukiangalia in between post yangu utakuta kua uloongea nalo nakubali... but sometimes kuna forces zingine ambazo zina nguvu kuliko kupishana kwa age... What do you do unakuta kua Mkaka ana mahusiano mazuri saana na mwanamke ambae kamzidi lets say four years i.e 30 years Vs 34... Hawa watu wana mahusiano maybe for more than two years... na wao wako compactible kasoro tu ukija issue ya age... Kwamba waachane tu sababu mwanamke ni mkubwa kuliko???

If you don't mind haka ka ubongo kako very curious kujua the rest ya hio top three criteria....

Habari yako bana....

Katika mazingira kama hayo..ni vigumu hao watu kutengana kwa sababu hilo suala la umri linakuwa halina uzito tena...Unajua wanaume wanapoteza sana mwelekeo wakishakaa na mwanamke na kuzoa kupewa dinner ya bure (free and unconditional dinner). Ila hiyo euphora ikiisha lazima uzee wa mke au mpenzi wake auone....Sitaki kusema zaidi ila ukweli uko hivyo!!

Kumbe unataka vigezo vya babu (bila kujali kama ni vya mwaka 1947)????

1. Uzuri wa sura.....(hakuna mtu anayeweza kula chakula ambacho hakijamhamasisha)
2. Uzuri wa tabia...(baada ya kushiba sura, huu ndio uziri halisi wa mwanamke...kwa vigezo vya babu DC)
3. Umri (kwangu ilibidi awe mdogo kwa zaidi ya miaka 2, kwa hiyo nilijipa range of 2-7 years). Hakutakiwa kuwa mdogo kwangu kwa kiasi cha miaka 10 kwani sikuwa tayari kucheza kidali po kwenye ndoa!!!

Umenipata?????????
 
Katika mazingira kama hayo..ni vigumu hao watu kutengana kwa sababu hilo suala la umri linakuwa halina uzito tena...Unajua wanaume wanapoteza sana mwelekeo wakishakaa na mwanamke na kuzoa kupewa dinner ya bure (free and unconditional dinner). Ila hiyo euphora ikiisha lazima uzee wa mke au mpenzi wake auone....Sitaki kusema zaidi ila ukweli uko hivyo!!

Kumbe unataka vigezo vya babu (bila kujali kama ni vya mwaka 1947)????

1. Uzuri wa sura.....(hakuna mtu anayeweza kula chakula ambacho hakijamhamasisha)
2. Uzuri wa tabia...(baada ya kushiba sura, huu ndio uziri halisi wa mwanamke...kwa vigezo vya babu DC)
3. Umri (kwangu ilibidi awe mdogo kwa zaidi ya miaka 2, kwa hiyo nilijipa range of 2-7 years). Hakutakiwa kuwa mdogo kwangu kwa kiasi cha miaka 10 kwani sikuwa tayari kucheza kidali po kwenye ndoa!!!

Umenipata?????????

DC yawezekana i am old traditioned as much as sio wa mwaka 47... Personally siamini in a man depending on me... eti ni provide kila kitu sababu tu ni mvivu wa kufanya kazi... napenda mwanaume alo mwanaume katika kila aspect... hivo naungana na post yako... Mwanaume tusaidiane kama hana uwezo for maisha sasa ni magumu.. Na anitegemee pale ambapo labda mambo/kazi zake zimeenda vibay- for then i know kua hata yeye pia hajapenda. But kama mwanaume huyo yupo comfy kukutegemea kwa yoote - ina maana mwanamke ndio uko in control... na mwanamke tu akiwa ni control katika relationship... IMO Naona unakosa baadhi ya uhondo wa kua mwanamke...

Hivo vigezo vyako ambovo ni top three.... Nimevikubali aaiisee....lol... Hio ya tatu... nakubaliana nawe... tena on my side napenda anizidi kabisa... hata kama ni five to seven years... for naona the more the age the more the maturity in mambo meeengi... (thou sio woote)... Hivo nimekupata kabisa...

Hata hivo Mzee DC hujanijibu bado... Mzima wewe??
 
DC yawezekana i am old traditioned as much as sio wa mwaka 47... Personally siamini in a man depending on me... eti ni provide kila kitu sababu tu ni mvivu wa kufanya kazi... napenda mwanaume alo mwanaume katika kila aspect... hivo naungana na post yako... Mwanaume tusaidiane kama hana uwezo for maisha sasa ni magumu.. Na anitegemee pale ambapo labda mambo/kazi zake zimeenda vibay- for then i know kua hata yeye pia hajapenda. But kama mwanaume huyo yupo comfy kukutegemea kwa yoote - ina maana mwanamke ndio uko in control... na mwanamke tu akiwa ni control katika relationship... IMO Naona unakosa baadhi ya uhondo wa kua mwanamke...

Hivo vigezo vyako ambovo ni top three.... Nimevikubali aaiisee....lol... Hio ya tatu... nakubaliana nawe... tena on my side napenda anizidi kabisa... hata kama ni five to seven years... for naona the more the age the more the maturity in mambo meeengi... (thou sio woote)... Hivo nimekupata kabisa...

Hata hivo Mzee DC hujanijibu bado... Mzima wewe??

Mzima sana tena sana,

Karibu idd..huku kwetu mwezi tuliuona jana.....Sijui kwenu????!!!!
 
Mzima sana tena sana,

Karibu idd..huku kwetu mwezi tuliuona jana.....Sijui kwenu????!!!!


Huku nilipo... nipo kushoto lolote niambiwalo nakubali tu...
Hata hivo Eid ndo kesho kwa pande zangu...
Sababu yako isha tokea ina maana nimechelewa hayo
makaribisho.. Hivo naona nikukaribishe wewe...

Karibu saana.
 
Huku nilipo... nipo kushoto lolote niambiwalo nakubali tu...
Hata hivo Eid ndo kesho kwa pande zangu...
Sababu yako isha tokea ina maana nimechelewa hayo
makaribisho.. Hivo naona nikukaribishe wewe...

Karibu saana.

Naomba ramani kwa PM,

Zamani nilikuwa mpenzi wa minuso,

Ila wewe unapika saa ngapi hiyo minuso wakati tunakuwa wote hapa MMU??? Au utaagiza take away!!
 
Naomba ramani kwa PM,

Zamani nilikuwa mpenzi wa minuso,

Ila wewe unapika saa ngapi hiyo minuso wakati tunakuwa wote hapa MMU??? Au utaagiza take away!!


ha ha ha... Hii post has made my day...
for believe me you... imenitoa tear.... Dah!

How i wish you just knew....

And of course niko kuandaa usafiri wa pm...
 
nina mpenzi ambaye ni mkubwa kiumri miaka kama 7.je nimuoe

mpaka hapa inaonyesha kuwa haupo comfortable na huyo mwanamke na ndo maana umekuja kuuliza hili swali! Laiti kama ungekuwa comfortable na unaona fahari kuwa nae, basi sasa hivi ungekuwa unaongelea ndoa! Ushauri wangu, fata moyo wako unavokwambia.......kama umeridhia muoe, if not muache!!
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom