Dena Amsi
R I P
- Aug 17, 2010
- 13,082
- 4,260
Huwa najiuliza mara nyingi kuwa ki au vi hutumika kwa vitu kama sikosei maana mimi si mtaalamu wa lugha, lakini linakuja swali langu kwanini walemavu wanatumiwa na maneno kama wao ni vitu?
Mfano: Kipofu, kilema, kiziwi - vipofu, vilema, viziwi nk
Inamaana wao ni vitu???
Wataalaamu nisaidieni hapa
Mfano: Kipofu, kilema, kiziwi - vipofu, vilema, viziwi nk
Inamaana wao ni vitu???
Wataalaamu nisaidieni hapa