Nisaidieni

wana jf leo mapema kabisa niliwahi hosp niliangalia BP ilikuwa 120/80
nikafanyiwa
ESR test
uric Acid test
ASL test na
RF test
vipimo vyote vilionyesha sina tatizo ila mkono bado haujanyoka na mguu wangu wa kulia huo huo nao umeanza kuniuma kwenye kifundo cha mguu je hamna mwana jf mwenye phd anisaidie?
Huyo DR. ni wakichina (Feki) haiwezekani aseme huna tatizo wakati we mkono haunyoki yaani tatizo linaonekana bila kipimo chochote. cheki na hospitali za ukweli ulienda phamacy nini?
 
wana jf leo mapema kabisa niliwahi hosp niliangalia BP ilikuwa 120/80
nikafanyiwa
ESR test
uric Acid test
ASL test na
RF test
vipimo vyote vilionyesha sina tatizo ila mkono bado haujanyoka na mguu wangu wa kulia huo huo nao umeanza kuniuma kwenye kifundo cha mguu je hamna mwana jf mwenye phd anisaidie?

Tatizo lako mkuu ni vigumu sana kulitolea ufumbuzi kwa njia hii ya kuvuta imagination ya jinsi mkono wako ulivyo sasa, coz ukisema mkono una maumivu alafu umejikunja haunyooki bado kuna mambo mengi ya kujiuliza ili kujua kwa kuanzia, kwa hiyo ni daktari yule utakayeweza kuonana nae ana kwa ana tu ndie anaweza kupata primary diagnosis nzuri, so suruhisho lilopo ni kwenda hospitali kama ulivyoshauriwa na wakuu wengine na iwe hospitali ya uhakika.
 
wana jf leo mapema kabisa niliwahi hosp niliangalia BP ilikuwa 120/80
nikafanyiwa
ESR test
uric Acid test
ASL test na
RF test
vipimo vyote vilionyesha sina tatizo ila mkono bado haujanyoka na mguu wangu wa kulia huo huo nao umeanza kuniuma kwenye kifundo cha mguu je hamna mwana jf mwenye phd anisaidie?

Mweshimiwa vipimo vyote ulivyotaja sio kwa ajili ya mkono huo ila vinasaidia kama una infection tatizo lako laweza kuwa nerve so nenda kwa mtaalamu wa mifupa atakusaidia.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom