Kichwa Ngumu
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 1,726
- 312
Huyo DR. ni wakichina (Feki) haiwezekani aseme huna tatizo wakati we mkono haunyoki yaani tatizo linaonekana bila kipimo chochote. cheki na hospitali za ukweli ulienda phamacy nini?wana jf leo mapema kabisa niliwahi hosp niliangalia BP ilikuwa 120/80
nikafanyiwa
ESR test
uric Acid test
ASL test na
RF test
vipimo vyote vilionyesha sina tatizo ila mkono bado haujanyoka na mguu wangu wa kulia huo huo nao umeanza kuniuma kwenye kifundo cha mguu je hamna mwana jf mwenye phd anisaidie?