kuti kavu
Member
- Feb 25, 2009
- 68
- 21
Samahani kama nitawakwaza baadhi ya watu. Lakini kutokana na kelele nyiingi ambazo nimekuwa nikizisikia kupitia vyombo vya habari kuhusu wa-zanzibari kuto utaka muungano kati yao na Tanzania bara nimeguswa kutaka kujua FAIDA AMBAZO WATU WA BARA WANAPATA KWA KUUNGANA NA ZANZIBAR.
Nimeuliza hivi kwa sababu kelele toka Zanzibar zinaonekana zina picha ya kuwa Zanzibar inanyonywa na WATANGANYIKA kima-slahi. Na ni kama vile wa Zanzibar wanaamini kwa kujitenga na WA TANGANYIKA watakuwa na maisha bora zaidiKwa staili ya kuwa wamejitenga na KUPE MNYONYAJI i.e. TAnzania BARA. lakini kila nikijaribu kuangalia ni namna GANI TANGANYIKA/ Tanzania Bara inafaidika zaidi na huu MUUNGano nakosa JIBU LA MSINGI.
HIvyo naomba msaada wa kujuzwa ni nini ambacho TANGANyika inafaidika toka Zanzibar ambacho huu muungano ukifa LABDA TANGANYIKA itayumba kwa kukosa HIZO FAIDA husika...
Nimeuliza hivi kwa sababu kelele toka Zanzibar zinaonekana zina picha ya kuwa Zanzibar inanyonywa na WATANGANYIKA kima-slahi. Na ni kama vile wa Zanzibar wanaamini kwa kujitenga na WA TANGANYIKA watakuwa na maisha bora zaidiKwa staili ya kuwa wamejitenga na KUPE MNYONYAJI i.e. TAnzania BARA. lakini kila nikijaribu kuangalia ni namna GANI TANGANYIKA/ Tanzania Bara inafaidika zaidi na huu MUUNGano nakosa JIBU LA MSINGI.
HIvyo naomba msaada wa kujuzwa ni nini ambacho TANGANyika inafaidika toka Zanzibar ambacho huu muungano ukifa LABDA TANGANYIKA itayumba kwa kukosa HIZO FAIDA husika...