Mutta
Senior Member
- Mar 24, 2011
- 101
- 11
Simu yangu ni nokia 2690.Nilipoinunua nilikuta OPERAMINI ambayo imenisaidia kuwa kwenye ulimwengu wa kisayansi.Naitumia kufungua WEBSITE ZOTE ikiwemo JF.Tatizo la simu yangu haiwezi kudown load PICHA,MUSIC,FILE au SOFTWARE yote kama Opera 6.5.Mozila fox.nk.Ikianza kuload inakaa hada Dk 10 bila mafanikio.Naombeni msaada WANASAYANSI wa JF