Eversmilin Gal
JF-Expert Member
- Feb 5, 2012
- 778
- 269
hivi jamani kwa mfano mume ameacha cm yakei mean ameisahau akaenda kwenye mizunguko yake
Halafu mke akawa anapokea cm zake akitoa tarifa mwenyewe hayupo kuna ubaya gani?please naombeni mawazo yenu
Halafu mke akawa anapokea cm zake akitoa tarifa mwenyewe hayupo kuna ubaya gani?please naombeni mawazo yenu