mimi ni binti mwenye miaka 25 nimemaliza elimu yangu ya juu UDSM in wildlife
science and conservation lakini mpaka sasa sijapata kazi nimeaply mnooo.
Nisaidieni waungwana mwenye uwezo wa kufanya ni pate kazi niko tayari kufanya kazi mkoa wowote ulee.
Mungu awabariki
science and conservation lakini mpaka sasa sijapata kazi nimeaply mnooo.
Nisaidieni waungwana mwenye uwezo wa kufanya ni pate kazi niko tayari kufanya kazi mkoa wowote ulee.
Mungu awabariki