Brown ad
JF-Expert Member
- Feb 3, 2012
- 345
- 204
Mimi nna tatizo ambalo linaninyima raha sana! Tangu naimevunja ungo nimekuwa na tatizo la kutokuwa na mpangilio mzuri wa hedhi.
Kwani nnaweza nikapitisha miezi miwili hadi mitatu bila ya kupata siku zangu kuna kipindi nikaenda hospitali nikaambiwa sina tatizo. Lakini siku zinavyozidi kwenda naona hali bado ipo vilevile nikaamua tena kwenda hospital baada ya vipimo nikaambiwa yai la kushoto lina maji nakapewa dawa na kupewa muda wa kurudi tena.
Niliporudi nikaambiwa kwamba yale maji yamekauka lakini sasa ni kama miezi saba na bado hali ndo inazidi kuwa mbaya kwani tumbo langu chini ya kitovu kama limevimba na nikilibinya kuna maumivu japo si makubwa,
naitaji msaada wenu, natanguliza shukrani.
Kwani nnaweza nikapitisha miezi miwili hadi mitatu bila ya kupata siku zangu kuna kipindi nikaenda hospitali nikaambiwa sina tatizo. Lakini siku zinavyozidi kwenda naona hali bado ipo vilevile nikaamua tena kwenda hospital baada ya vipimo nikaambiwa yai la kushoto lina maji nakapewa dawa na kupewa muda wa kurudi tena.
Niliporudi nikaambiwa kwamba yale maji yamekauka lakini sasa ni kama miezi saba na bado hali ndo inazidi kuwa mbaya kwani tumbo langu chini ya kitovu kama limevimba na nikilibinya kuna maumivu japo si makubwa,
naitaji msaada wenu, natanguliza shukrani.