google this DC-UNLOCKER.Wateknolojia mpo!!!!! Nina modem ya Zain ambayo haikubali laini nyingine zaidi ya ZAIN, modem hii kila nikiitumia naaona ipo slow sana na hivyo inanikata stimu. Naomben mnijulishe namna ya kui-FLASH ili niweze kutumia laini ya ZANTEL/VODA
hakuna shida mkuu, baada ku run dcunlocker. create dial connection, inaconnect vizuritu! au google this ZTE_MF622 HSDPA/EDGE USB MODEM and dowload it. zipo kibao n free ina detect any sim card. mi natumia zte k3565z kwa line ya zantel,zain.dc unlocker iko safi ila co free, utahitajika kununua p/word.
Model? kama ni Huawei rahisi sana ila ZTE shida kidogo