KIBURUDISHO
JF-Expert Member
- Mar 28, 2011
- 1,002
- 274
WanaJF mambo vp? Nimeshindwa kujielewa sijui hili ni tatizo au vp.Sijawahi tumia dawa ya aina yoyote ile ya kuongeza nguvu za kiume lakini cha kushangaza ninaweza piga mzigo mara saba kwa siku na mfululizo kwa wiki na hata mwezi na hii imepelekea kumchosha sana mke wangu nimejaribu kutumia mbinu ya kabla sijalala napiga nyeto ili kupunguza hamu ya kufanya tendo la ndoa lakini naona haisaidii kitu na huu ni mwaka wa nne nikiwa na tatizo hili sasa nimeshindwa kujielewa.Tafadhalini naombeni msaada kwa wenye uzoefu wa mambo haya na sii kunikashfu/utani.