Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,850
- 155,799
Jamani sijui naumwa au nimelogwa.
huu ugonjwa unanitesa na kunimaliza.
Napenda sana sifa na mbwembwe na nikiona mabinti ndio kabisaaaaaa.
Ntajidai Kikwete ni houseboy wangu, Bakhresa ni msafisha viatu vyangu.
Sasa kuna binti nilimuelekeza ofisini kwangu.
Nikamwambia anipigie simu kabla hajaja.
Yeye akaja ghafla bila simu wala nini, kidogo tu nizimie, alinikuta nimevaa apron na mkononi nina mop na mbaya zaidi tea girl alikuwa akiniita kwa jina na kusema natakiwa jikoni nikapige deki kuna maji yamemwagika
huu ugonjwa unanitesa na kunimaliza.
Napenda sana sifa na mbwembwe na nikiona mabinti ndio kabisaaaaaa.
Ntajidai Kikwete ni houseboy wangu, Bakhresa ni msafisha viatu vyangu.
Sasa kuna binti nilimuelekeza ofisini kwangu.
Nikamwambia anipigie simu kabla hajaja.
Yeye akaja ghafla bila simu wala nini, kidogo tu nizimie, alinikuta nimevaa apron na mkononi nina mop na mbaya zaidi tea girl alikuwa akiniita kwa jina na kusema natakiwa jikoni nikapige deki kuna maji yamemwagika