AshaDii
Platinum Member
- Apr 16, 2011
- 16,190
- 18,078
Nyie Great thinkers Mlomshadadia mwenzehu hapo juu.... Kasema anafanya utafiti... Haina maana yupo CCM ama lah! Read between the lines people... Labda anafanya utafiti wa response ya vijana... Or maybe misimamo ya vijana kama yaweza yumba wavutwe huko kwenye vyama vingine... Tupunguze kukurupuka wakuu, hii sasa inavuka mpaka na hatujengi... Mnategemea hao CCM tutawang'oa vipi bila kujua hizo "ins and outs" na hizo zitapatikana vipi bila utafiti?? Think people... think...