Sangarara
JF-Expert Member
- Sep 29, 2011
- 13,100
- 5,649
Toka nimehamia Kampuni hii sijamaliza hata miezi mitatu jamani lakini huyu mdada/mmama naona anataka kuniangusha kinguvu sasa.
Inawezekana makosa niliyafanya mimi mwanzoni, lakini ilivyokuwa ni kwamba, kama kawaida kwenye maofisi mengi huduma za chai jikoni kila mtu anajiservia na kusafisha kikombe mwenyewe, mimi the first day nimefika kiutani tu, tukiwa jikoni wengi nikasema hili swala la kusafisha kikombe wakati nyumbani nasafishiwa sintaliweza, ikaibua mjadala kidogo pale nikajua yameisha.
Baada ya kama wiki hivi huyu mdada, akanifuata ofisini kwamba amejia kikombe akasifishe, nikamuambia asante kwanza sijamaliza kunywa chai, nikajua yameisha, baada ya nusu saa akarudi tena akakichukua na kuniambia kama sijali atakuwa ananiservia kabisa nikajichekeshachekesha nikijua ni utani tu. Kosa, mdada alikuwa serious toka siku hiyo naserviwa chai na kusafishiwa kikombe na tayari wadada wengine hapa wamekwishaanza vicheko vicheko vya kijinga.
Kosa la msingi ni siku nilipomkuta getini anachekacheka nawalinzi lunch time, on her way out, nikaomba kumtoa lunch akakubali, nayo ikazua tabia, sasa hata lunch lazima twende wote, ikafikia hatua Mkurugenzi akaniambia, "Kiongozi Mke wa mtu huyo, kama uko interested usijifungie ofisini wako mabinti walembo sana humu ndani bwana jitahidi kuzunguka kidogo" nikajua hii issue sasa inaelekea kubaya.
Siku moja akaanzisha story za kifamilia na katikati akaniambia mme wake hamridhishi, nikatoa ushauri wa nini afanye huku nikichagua maneno kwa uangalifu mkubwa sana, kesho yake asubuhi aliponiletea chai, akaniambia ushauri wangu haukusaidia kitu, nikamshauri asikate tamaa, sasa ikawa kila siku naletewa malalamiko silidhishwi silidhishwi, ghafla ijumaa iliyopota asubuhi na mapema ananiambia ameota tumedo, na amefurahi sana, na alipoamka alikuta kujichafua, moyoni nikajua hapa mimba ya uovu imeishashika. leo mchana huu tumetoka kula lunch, tulikuwa wengi kidogo, kanifuata ofisini kanipa kimfuko ananiambia zawadi yangu, kabla sijaandika post hii, nimekiangalia ndani nimekuta chupi na kondomu.hapa nimepandwa na kiwewe.
Nisaidieni maombi jamani.
Mlishonyuma: Leo sijaletewa chai (japo nilijihami nimekuja nayo toka home); na sijamuona, ila yupo.
Inawezekana makosa niliyafanya mimi mwanzoni, lakini ilivyokuwa ni kwamba, kama kawaida kwenye maofisi mengi huduma za chai jikoni kila mtu anajiservia na kusafisha kikombe mwenyewe, mimi the first day nimefika kiutani tu, tukiwa jikoni wengi nikasema hili swala la kusafisha kikombe wakati nyumbani nasafishiwa sintaliweza, ikaibua mjadala kidogo pale nikajua yameisha.
Baada ya kama wiki hivi huyu mdada, akanifuata ofisini kwamba amejia kikombe akasifishe, nikamuambia asante kwanza sijamaliza kunywa chai, nikajua yameisha, baada ya nusu saa akarudi tena akakichukua na kuniambia kama sijali atakuwa ananiservia kabisa nikajichekeshachekesha nikijua ni utani tu. Kosa, mdada alikuwa serious toka siku hiyo naserviwa chai na kusafishiwa kikombe na tayari wadada wengine hapa wamekwishaanza vicheko vicheko vya kijinga.
Kosa la msingi ni siku nilipomkuta getini anachekacheka nawalinzi lunch time, on her way out, nikaomba kumtoa lunch akakubali, nayo ikazua tabia, sasa hata lunch lazima twende wote, ikafikia hatua Mkurugenzi akaniambia, "Kiongozi Mke wa mtu huyo, kama uko interested usijifungie ofisini wako mabinti walembo sana humu ndani bwana jitahidi kuzunguka kidogo" nikajua hii issue sasa inaelekea kubaya.
Siku moja akaanzisha story za kifamilia na katikati akaniambia mme wake hamridhishi, nikatoa ushauri wa nini afanye huku nikichagua maneno kwa uangalifu mkubwa sana, kesho yake asubuhi aliponiletea chai, akaniambia ushauri wangu haukusaidia kitu, nikamshauri asikate tamaa, sasa ikawa kila siku naletewa malalamiko silidhishwi silidhishwi, ghafla ijumaa iliyopota asubuhi na mapema ananiambia ameota tumedo, na amefurahi sana, na alipoamka alikuta kujichafua, moyoni nikajua hapa mimba ya uovu imeishashika. leo mchana huu tumetoka kula lunch, tulikuwa wengi kidogo, kanifuata ofisini kanipa kimfuko ananiambia zawadi yangu, kabla sijaandika post hii, nimekiangalia ndani nimekuta chupi na kondomu.hapa nimepandwa na kiwewe.
Nisaidieni maombi jamani.
Mlishonyuma: Leo sijaletewa chai (japo nilijihami nimekuja nayo toka home); na sijamuona, ila yupo.