Nategemea kupokea kitelevesion changu kutoka nje kwa EMS chenye gharama kama dollar 1,000.inch 42 LED 3 D. nimepiga simu TRA wananiambia kodi Tshs.720,000.Jamani nikitu kinachowezekana kweli na mahesabu ya kodi wanacalculate kwa formula gani?.
Yawezekana kabisa. Mimi nilileta tv ya nchi 42 LED kwa cargo, walinacharge 1.5 milion. wanajinsi yao ya kucalculate,japo yaumiza watanzania. nadhani wanaangalia bei ya hizo tv tanzania ndo wanapiga kodi. jiandae tu kuilipa
wafanyabiashara huwa hawalipi kodi halali,so kwa wewe unayeleta moja moja,utapata tarrif ya halali,kumbuka kwa serikali yetu TV ni anasa
miaka siyo mingi sana mpaka around 1992 ilikuwa unapewa kadi ya kumiliki TV,ilikuwa na rangi ya njano kama kadi ya kumiliki gari
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.