Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 30,808
- 59,353
Nipe basi hata pakuanzia inatosha
Anzia HAPA huko mbele ntajazia. . .
Nipe basi hata pakuanzia inatosha
habari zenu wana jf natumaini wengi wenu hamjambo . jamani kuna msichana tuko naye course moja nampenda sana nataka awe mchumba wangu, leo tukiwa darasani niliamua kukaa naye karibu alivyoniona akatabasamu huku akiniangalia machoni hapo ndipo moyo wangu ulinasa kama sumako nikahisi kuchanganyikiwa sijamtokea nipeni njia za kumpata
heeeee! kumbe ni mkwanja ndo mambo yoteee!....nimewastukia sasa aaaalah!Zingatia masomo kwanza,upate kazi na mkwanja watakufata wenyewe wala hutahitaji kuhangaika kutafuta namna ya kumtongoza.
Namba ya watu niliowatabasamia. . .
Wakati mwingine hua mtu anatabasamu kwa aibu baada ya kugundua mtu anamkodolea macho au just to be nice. Ngoja ukute mupenzi yupo humo humo darasani. .
step ya kwanza mwambie mambo..
step ya pili mwambie nimefurahi kukusalimia..
step ya tatu mwambie akupe jina la FB au ID ya JF ili muwezekusocialize...
step ya nne utaongea nae kwenye inbox au PM kwa kuwa wewe ni domo zege
kila la kheli mtongozaji..
Hahaha. . . sasa tuko pamoja dearest.Maisha ni shule dearest, ndo atakuwa amejifunza namna ya kutongoza kwa siri....hata hiyo kutabasamiana inaweza mleteaa kesi...!
Hahaha. . . sasa tuko pamoja dearest.
If he learns the hard way the lesson will last.
Jenga naye urafiki, kama mna Group Discussions tafuta namna ya kujiunga katika GD lake, jitahidi kumfahamu lkabla ya kumweleza hisia zako au kumwingiza ndani ya hisia zako may be she isn't available halafu umeshajiwekea matumaini unaweza unakutana na kibuti cha ugoko!!!..
Dearest mwenyewe kuna mtu nampenda,nifanyeje?? lol
We hua unafuata watu wakiwa na pesa?