Nisaidieni kumpata huyu mchumba

Ndokeji

JF-Expert Member
Jun 9, 2011
698
475
habari zenu wana jf natumaini wengi wenu hamjambo . jamani kuna msichana tuko naye course moja nampenda sana nataka awe mchumba wangu, leo tukiwa darasani niliamua kukaa naye karibu alivyoniona akatabasamu huku akiniangalia machoni hapo ndipo moyo wangu ulinasa kama sumako nikahisi kuchanganyikiwa sijamtokea nipeni njia za kumpata
 
habari zenu wana jf natumaini wengi wenu hamjambo . jamani kuna msichana tuko naye course moja nampenda sana nataka awe mchumba wangu, leo tukiwa darasani niliamua kukaa naye karibu alivyoniona akatabasamu huku akiniangalia machoni hapo ndipo moyo wangu ulinasa kama sumako nikahisi kuchanganyikiwa sijamtokea nipeni njia za kumpata

Mi sijaelewa! Unamaana kwamba wewe Umekuwa Domo Zege ama!?!?
 
habari zenu wana jf natumaini wengi wenu hamjambo . jamani kuna msichana tuko naye course moja nampenda sana nataka awe mchumba wangu, leo tukiwa darasani niliamua kukaa naye karibu alivyoniona akatabasamu huku akiniangalia machoni hapo ndipo moyo wangu ulinasa kama sumako nikahisi kuchanganyikiwa sijamtokea nipeni njia za kumpata

sijakuelewa bado,unataka tukutongozee au?
 
kaa nae tena karibu wakati wa lecture,mkikutana macho sogea karibu yake...m-kiss,ujumbe utakuwa umefika.....!
 
step ya kwanza mwambie mambo..
step ya pili mwambie nimefurahi kukusalimia..
step ya tatu mwambie akupe jina la FB au ID ya JF ili muwezekusocialize...
step ya nne utaongea nae kwenye inbox au PM kwa kuwa wewe ni domo zege

kila la kheli mtongozaji..
 
kaa nae tena karibu wakati wa lecture,mkikutana macho sogea karibu yake...m-kiss,ujumbe utakuwa umefika.....!

We dearest unataka mtoto wa watu aitiwe mwizi au apewe kipondo? Nimejaribu kufikiria mtu akinifanyia hivyo. . Duh sipati picha.
 
We dearest unataka mtoto wa watu aitiwe mwizi au apewe kipondo? Nimejaribu kufikiria mtu akinifanyia hivyo. . Duh sipati picha.

ha ha ha haaaaaaaaa, amesema,leo kakaa nae karibu wakaangaliana, yule dada akatabasamu, manake kuna connection...ndo nimemshauri, wakae tena karibu ila safari hii apige hatua moja mbele kwa kumbusu shavuni....anaweza akambusu pia....lol
 
Zingatia masomo kwanza,upate kazi na mkwanja watakufata wenyewe wala hutahitaji kuhangaika kutafuta namna ya kumtongoza.
 
ha ha ha haaaaaaaaa, amesema,leo kakaa nae karibu wakaangaliana, yule dada akatabasamu, manake kuna connection...ndo nimemshauri, wakae tena karibu ila safari hii apige hatua moja mbele kwa kumbusu shavuni....anaweza akambusu pia....lol

Namba ya watu niliowatabasamia. . .
Wakati mwingine hua mtu anatabasamu kwa aibu baada ya kugundua mtu anamkodolea macho au just to be nice. Ngoja ukute mupenzi yupo humo humo darasani. .
 
step ya kwanza mwambie mambo..
step ya pili mwambie nimefurahi kukusalimia..
step ya tatu mwambie akupe jina la FB au ID ya JF ili muwezekusocialize...
step ya nne utaongea nae kwenye inbox au PM kwa kuwa wewe ni domo zege

kila la kheli mtongozaji..
p
nishakuelewa kaka lakini mie si domo zege
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom