wyclefmore
Member
- May 16, 2011
- 33
- 2
wana jf naombeni eilimu juu ya haya
1.kuna madhara gani nikipangisha nyumba bila mkataba.
2.je mkataba wa kupangisha nyumba nautoa wapi-je naubuni tu mwenyewe.na kama nikiubuni tu mwenyewe utakuwa na nguvu za kisheria?.
3.je nikienda kwa wakili anaweza kuniandaloa mkataba-gharama zake vipi mimi mwananchi wa kawaida ntazimudu.
Nambeni ufafanuzi juu ya haya.
1.kuna madhara gani nikipangisha nyumba bila mkataba.
2.je mkataba wa kupangisha nyumba nautoa wapi-je naubuni tu mwenyewe.na kama nikiubuni tu mwenyewe utakuwa na nguvu za kisheria?.
3.je nikienda kwa wakili anaweza kuniandaloa mkataba-gharama zake vipi mimi mwananchi wa kawaida ntazimudu.
Nambeni ufafanuzi juu ya haya.