wakozuka
Member
- Mar 24, 2011
- 29
- 3
jamani nina mdogo wangu wakike ambaye hivi majuzi tu kanieleza kuwa mwalimu wake wa somo la historia anamsumbua na kkumtaka kimapenzi, kwa kweli niliishiwa pumzi na hata kukosa jinsi ya kushughulikia hili swala. shida ni kwamba asasi gani au kitengo gani katka serekali naweza enda shtaki hili, nahata mwalimu huyo siweze endelea na hako ka mchezzo, kwani nikimshughulikia mimi atamuacha mdogo wangu lakini je? vipi kuhusu hao watot wengine?