=Nawasalimia humu ndani. Nisaidieni jamani tatizo la kurithi', Tatizo langu ni la siku nyingi kidogo. Nasumbuliwa na UTI na maumivu makali upande wa kulia na kushoto mwa tumbo, mara nyingi pia maumivu ya kiuno, mkojo kuwa wa njano.
=Mzee wangu anasumbuliwa na matatizo haya na nahisi nimerithi kwake.
= Dawa za hospitali nimezitumia sana lkn tatizo linapotea kwa mda. NAOMBA USHAURI WENU
=Mzee wangu anasumbuliwa na matatizo haya na nahisi nimerithi kwake.
= Dawa za hospitali nimezitumia sana lkn tatizo linapotea kwa mda. NAOMBA USHAURI WENU