TANMO
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 11,511
- 11,271
Mtoto wa Ivunga na Irina Kalashnikova hapo baada ya miaka 2 akiwa na bibi yake Tatiana Gagarina.
Huyo mtoto tutamwita Ksenya Ivuganyikova,,, hehehehehe!
Mtoto wa Ivunga na Irina Kalashnikova hapo baada ya miaka 2 akiwa na bibi yake Tatiana Gagarina.
dah!! mkuu naona unafurahia hii kitu sana .sio fresh mkuu hii kitu inaweza kukutokea hata wewe kwanza wewe unaweza kukutwa ndani kwa demu na vijeba vikakushughulikia huwezi jua nn manake hata wewesi ni mwanaume? ahhahaha wewe nicheke tu ila zamu yako unaweza kuta inakuja
hahahaa mkuu sikonge habari yako mzee
kwa kweli ni kama movie fulani hivi.tena ya comedy,iliyobaki ivuga utuwekee picha yako kwani wengine hatukufahamu ili lolote litakalotokea,angalau tumjue ivuga.inaonyesha ulikua na kiu sana na huyo m.ke,haya na huyo g.friend wako akija kujua jee?s.times mimba usiyoitaka,ndio inaingia mara moja.iliyobaki wewe subiri siku baada ya siku 14,anza kuhesabu kabisa
mkuuwewe hujapata picha huyu mdada alivyonipiga mkwala alinitukana mwanzo mwisho nimeomba msamaha nahataki kunielewa sasa nimekaa tu hapa naomba asipate mimba na badae kama vipi nitaweka picha yake ili hata nikipotea mjue nani kampoteza mwana JF
Huyo mtoto tutamwita Ksenya Ivuganyikova,,, hehehehehe!
poa hiyo inaruhusiwa ila ila uweke mpicha wa ukweli hapa lakini hapo nni kama accedentally nikitangulia kwenda kwa sir GOD buta kwa sasa kama unamjua mtu huwezi kuweka details zake hapa ila kama kweli huyu mtoto mimba ikimkamata itapidi nitafute mtu nimpe details zangu kabisa ili wana jf wahabarishweHalafu kuna mada aliianzisha PJ kuhusu member wa JF akiaga dunia, kama je tuliweke wazi jina lake au tusiweke.. Kwa kuwa mkuu umebahatika kujua kuwa utafariki muda si mrefu unaonaje ukatoa ruhusa kabisa ili wana-JF wanaokujua waweze kutoa jina na picha yako ikiwezekana?
Ni ushauri tu huo kaka!
mh weka picha hapa??????????????????usidhubutu
poa hiyo inaruhusiwa ila ila uweke mpicha wa ukweli hapa lakini hapo nni kama accedentally nikitangulia kwenda kwa sir GOD buta kwa sasa kama unamjua mtu huwezi kuweka details zake hapa ila kama kweli huyu mtoto mimba ikimkamata itapidi nitafute mtu nimpe details zangu kabisa ili wana jf wahabarishwe
kaka mzaha mzaha hutumbua usaha !!! binti alikuwa serious kaka ndio maaana naogopa sana alivyopiga simu alikuwa hana mzaha tena alishanibadilikia kama vile watu tusiojuanakaka we kiboko!
kaka mzaha mzaha hutumbua usaha !!! binti alikuwa serious kaka ndio maaana naogopa sana alivyopiga simu alikuwa hana mzaha tena alishanibadilikia kama vile watu tusiojuana
Ivuga, usilie sana kwani kusafisha ngozi nako ni muhimu.
Ona mwenzio alipata katoto safi na kakashinda kwenye Playboy....
Ida Ljungqvist akiwa katika Pozi zito. Mama wa Kitanzania alikafyatua...
Ida Ljungqvist - Wikipedia, the free encyclopedia
Ivuga, usilie sana kwani kusafisha ngozi nako ni muhimu.
Ona mwenzio alipata katoto safi na kakashinda kwenye Playboy....
Ida Ljungqvist akiwa katika Pozi zito. Mama wa Kitanzania alikafyatua...
Ida Ljungqvist - Wikipedia, the free encyclopedia
poa hiyo inaruhusiwa ila ila uweke mpicha wa ukweli hapa lakini hapo nni kama accedentally nikitangulia kwenda kwa sir GOD buta kwa sasa kama unamjua mtu huwezi kuweka details zake hapa ila kama kweli huyu mtoto mimba ikimkamata itapidi nitafute mtu nimpe details zangu kabisa ili wana jf wahabarishwe
Noted,,
Kalale pema peponi kamanda,,
Ivuga tulikupenda ila Mungu amekupenda zaidi...
Tangulia, wewe mbele, sisi tuko nyuma yako,,,:disapointed::disapointed:
kuhesabu kifo au?
mkuu sikonge mtoto alikuwa na nywele nyeusi ivi ivi sema yeye vimaziwa vyake vilikuwa vimesimama kidogo na lips ndogo yaani kisura cha babegirl jamani mimi hata niikifa msijemkasikitika sana bora nitubu tu ili niende kwa sir GOD thats all
:car: ahahaha oya man sio fresh kuwanga bado mapema mno nishasema mtoto yuko vacation anarudi after 2 or 3 weeks sasa akirudi ndio hapo nitajua kuwa kimewaka au nitaendelea kudunda bado