Nimepata kanyumba ndogo kanafanya kwenye hoteli fulani ya kitalii hapa mjini. Kweli ni mzuri na ananipa penzi vizuri sana I really enjoy (Pls note that I love my wife). Ila nina shida moja tu na huyu dada kwani simuamini kwa 100% with the following reasons.
1. Mpaka sasa nimekaa nae kwa miezi mitatu ila sijawahi kuingia kwake ila naishiaga getini nam drop/mpick wakati anaishi mwenyewe.
2. Simu yake huwa hataki niiguse kabisa lakini yangu anaweza ishika 24/7.
3. Kuna wakati nikimrudisha home kwake ukipiga simu haipatikani kabisa mpaka kesho yake ukimuuliza anakwambia iliisha charge yaani masaa 12 unacharge simu utafikiri inatumia battery ya caterpillar.
Kweli kinacho niuma mimi nampenda sana na nina mjali kwa mahitaji yake yoteeeeeeeeeeeee. Akitaka club, shopping, lot of outing etc.
Naombeni ushauri wenu jamani kwani mwenzenu roho inaniuma sana.
aisee anko mbona unakuwa kama ****??kwani umeshindwa kupiga ambush hapo muda ambao unajua yupo home??mfano unamdrop saa mbili usiku then unapiga ambush saa tano usiku...
alafu we mbona unakuwa kama mtoto pamoja na kuwa umeoa hujui dalili za kufanywa buzi la kutimiza haja za demu bana unamtoa kila kitu alafu anakufanyia vituko??si utulie na mkeo bana au mpaka upate UKIMWI ndo utatulia??