kama una nauli ya kurud-sepa-achana nayeHabari zenu,
mimi na huyu mwanamke tuko hapa Aman-Jordan tumefika hapa mchana tukitokea dubai tulipokutania yeye akitokea Dar alinikuta Dubai kwa vile yeye aliniambia nitangulie ili nimtafutie sehemu atakapopata bidhaa anazohitaji kwa ajili ya biashara zake za nguo na cosmetics. Gharama zote amenilipia: Transport, Accomodation na matumizi mengine tunapokua safarini analipa yeye mimi amenichukua kwa malipo ili nimsaidie Translation yeye hajui kiingereza vizuri na kiarabu hajui kabisa na hizo ndizo lugha watu wengi hapa wanatumia. Sasa tatizo ni kwamba sasa hivi anakataa kulala chumbani kwake eti anaona vitu kama mashetani chumbani kwake mimi nikienda pale sioni kitu. Anasema lazima alale chumbani kwangu naogopa kukataa kwa vile hela yangu amenilipa nusu tu na balance mpaka nikimaliza kazi next tuesday. Naomba ushauri nimkimbie au nisubiri nione kama kesho atarudia tabia hii.
Asanteni.
Habari zenu,
mimi na huyu mwanamke tuko hapa Aman-Jordan tumefika hapa mchana tukitokea dubai tulipokutania yeye akitokea Dar alinikuta Dubai kwa vile yeye aliniambia nitangulie ili nimtafutie sehemu atakapopata bidhaa anazohitaji kwa ajili ya biashara zake za nguo na cosmetics. Gharama zote amenilipia: Transport, Accomodation na matumizi mengine tunapokua safarini analipa yeye mimi amenichukua kwa malipo ili nimsaidie Translation yeye hajui kiingereza vizuri na kiarabu hajui kabisa na hizo ndizo lugha watu wengi hapa wanatumia. Sasa tatizo ni kwamba sasa hivi anakataa kulala chumbani kwake eti anaona vitu kama mashetani chumbani kwake mimi nikienda pale sioni kitu. Anasema lazima alale chumbani kwangu naogopa kukataa kwa vile hela yangu amenilipa nusu tu na balance mpaka nikimaliza kazi next tuesday. Naomba ushauri nimkimbie au nisubiri nione kama kesho atarudia tabia hii.
Asanteni.
Mpishe chumba wewe nenda kalale chumba hicho chenye mashetani
Habari zenu,
mimi na huyu mwanamke tuko hapa Aman-Jordan tumefika hapa mchana tukitokea dubai tulipokutania yeye akitokea Dar alinikuta Dubai kwa vile yeye aliniambia nitangulie ili nimtafutie sehemu atakapopata bidhaa anazohitaji kwa ajili ya biashara zake za nguo na cosmetics. Gharama zote amenilipia: Transport, Accomodation na matumizi mengine tunapokua safarini analipa yeye mimi amenichukua kwa malipo ili nimsaidie Translation yeye hajui kiingereza vizuri na kiarabu hajui kabisa na hizo ndizo lugha watu wengi hapa wanatumia. Sasa tatizo ni kwamba sasa hivi anakataa kulala chumbani kwake eti anaona vitu kama mashetani chumbani kwake mimi nikienda pale sioni kitu. Anasema lazima alale chumbani kwangu naogopa kukataa kwa vile hela yangu amenilipa nusu tu na balance mpaka nikimaliza kazi next tuesday. Naomba ushauri nimkimbie au nisubiri nione kama kesho atarudia tabia hii.
Asanteni.