Nisaidieni huyu mwanamke ananisumbua!

Habari zenu,

mimi na huyu mwanamke tuko hapa Aman-Jordan tumefika hapa mchana tukitokea dubai tulipokutania yeye akitokea Dar alinikuta Dubai kwa vile yeye aliniambia nitangulie ili nimtafutie sehemu atakapopata bidhaa anazohitaji kwa ajili ya biashara zake za nguo na cosmetics. Gharama zote amenilipia: Transport, Accomodation na matumizi mengine tunapokua safarini analipa yeye mimi amenichukua kwa malipo ili nimsaidie Translation yeye hajui kiingereza vizuri na kiarabu hajui kabisa na hizo ndizo lugha watu wengi hapa wanatumia. Sasa tatizo ni kwamba sasa hivi anakataa kulala chumbani kwake eti anaona vitu kama mashetani chumbani kwake mimi nikienda pale sioni kitu. Anasema lazima alale chumbani kwangu naogopa kukataa kwa vile hela yangu amenilipa nusu tu na balance mpaka nikimaliza kazi next tuesday. Naomba ushauri nimkimbie au nisubiri nione kama kesho atarudia tabia hii.

Asanteni.
kama una nauli ya kurud-sepa-achana naye
 
Mi najua unamajibu kichwani,language is not a barrier in Business,ok tuseme ukoo wao wote hawajui kingereza,hana marafiki wanaoenda dubai kununua vi2 akaenda nao,na huko dubai hakuna translators mpaka amekubeba wwe! Nys alikuwa anategemea akuwin huko,all in all ua life is on ur hands. That is a RISK UA ABT TO TAKE,MEASURE IT BRO.
 
Follow your heart yaonenakana huna haya Kumi mfukoni!



Habari zenu,

mimi na huyu mwanamke tuko hapa Aman-Jordan tumefika hapa mchana tukitokea dubai tulipokutania yeye akitokea Dar alinikuta Dubai kwa vile yeye aliniambia nitangulie ili nimtafutie sehemu atakapopata bidhaa anazohitaji kwa ajili ya biashara zake za nguo na cosmetics. Gharama zote amenilipia: Transport, Accomodation na matumizi mengine tunapokua safarini analipa yeye mimi amenichukua kwa malipo ili nimsaidie Translation yeye hajui kiingereza vizuri na kiarabu hajui kabisa na hizo ndizo lugha watu wengi hapa wanatumia. Sasa tatizo ni kwamba sasa hivi anakataa kulala chumbani kwake eti anaona vitu kama mashetani chumbani kwake mimi nikienda pale sioni kitu. Anasema lazima alale chumbani kwangu naogopa kukataa kwa vile hela yangu amenilipa nusu tu na balance mpaka nikimaliza kazi next tuesday. Naomba ushauri nimkimbie au nisubiri nione kama kesho atarudia tabia hii.

Asanteni.
 
Habari zenu,

mimi na huyu mwanamke tuko hapa Aman-Jordan tumefika hapa mchana tukitokea dubai tulipokutania yeye akitokea Dar alinikuta Dubai kwa vile yeye aliniambia nitangulie ili nimtafutie sehemu atakapopata bidhaa anazohitaji kwa ajili ya biashara zake za nguo na cosmetics. Gharama zote amenilipia: Transport, Accomodation na matumizi mengine tunapokua safarini analipa yeye mimi amenichukua kwa malipo ili nimsaidie Translation yeye hajui kiingereza vizuri na kiarabu hajui kabisa na hizo ndizo lugha watu wengi hapa wanatumia. Sasa tatizo ni kwamba sasa hivi anakataa kulala chumbani kwake eti anaona vitu kama mashetani chumbani kwake mimi nikienda pale sioni kitu. Anasema lazima alale chumbani kwangu naogopa kukataa kwa vile hela yangu amenilipa nusu tu na balance mpaka nikimaliza kazi next tuesday. Naomba ushauri nimkimbie au nisubiri nione kama kesho atarudia tabia hii.

Asanteni.

kwa kifupi amekugeuza wewe malaya wa kiume mkuu............... uza mbunye hiyo upate ujira wako
 
uwe mwangalifu sana ,hii ni kinyume na maadili ya Mungu,kilichokupeleka ni biashara, fanya biashara.ukijiachia tuu,umerudi na ukimwi kwani yaelekea hii ni tabia yake na wewe si wa kwanza. hivyo kuna uwezekano ukarudi na ukimwi

 
Back
Top Bottom