NYENJENKURU
JF-Expert Member
- Feb 11, 2011
- 1,063
- 288
Kuna rafiki yangu wa karibu sana, mke wake hv majuz aliamua kumwachia mtoto wa miez 8 na kusafiri kuja Dar kwa madai ya kuja kumwona mamdogo wake, lakin hakufika hata kwa mamdogo badala yake alienda kwa mwanaume kulala nae usiku kucha jamaa alipompigia sim usiku alipokea mdume, hebu msaada wenu wana jf.
Mwambie atafute mtaalamu.Siku akienda kwa huyo mwanamume ngoma igome kutoka kama ilivyotokea huko Kusini mwa tanzania