KIBURUDISHO
JF-Expert Member
- Mar 28, 2011
- 1,002
- 274
WanaJFwenzangu mambo vp?
Naombeni msaada wenu kwa wenye uzoefu wa hii OPERAMINI yenye O kubwa kwa mimi ninayebrowse kwa kutumia simu ya Nokia E61i.
Ninapoingia humu JF kupitia mfumo wa Desktop ninapohitaji kuanzisha TOPIC mbona sioni sehemu ya kuandika ujumbe au maelezo ninayohitaji kuyapost, ipo sehemu ya kuandika TITLE tu.
tafadhali naomba msaada wenu.
Naombeni msaada wenu kwa wenye uzoefu wa hii OPERAMINI yenye O kubwa kwa mimi ninayebrowse kwa kutumia simu ya Nokia E61i.
Ninapoingia humu JF kupitia mfumo wa Desktop ninapohitaji kuanzisha TOPIC mbona sioni sehemu ya kuandika ujumbe au maelezo ninayohitaji kuyapost, ipo sehemu ya kuandika TITLE tu.
tafadhali naomba msaada wenu.