Nisaidieni dawa ya tumbo kujaa gesi

babu chodo

Member
Apr 1, 2014
90
23
Naombeni msaada tumbo linajaa gasi na kunguruma sana,nimeshachekiwa hospitali nimeingiziwa mpira endoscope nimeambiwa sina tatizo lolote lakini bado tatizo lipo nisaidieni
 
Naombeni msaada tumbo linajaa gasi na kunguruma sana,nimeshachekiwa hospitali nimeingiziwa mpira endoscope nimeambiwa sina tatizo lolote lakini bado tatizo lipo nisaidieni
GESI TUMBONI : Ikiwa mtu atakula kwa wingi vyakula vinavyoleta gesi halafu vyakula hivyo visisagike vizuri tumboni, hukusanya gesi tumboni na kufanya mingurumo humo na kumsababishia maumivu, humkosesha mtu utulivu na kumfanya kutoka jasho na machovu bila ya kufanya kazi. Mtu hujisikia mara kwa mara aende haja kubwa na akienda hapati choo. Pia humsababishia mtu kuumwa kwa mgongo au kiuno. Ikiwa gesi hii itakosa kutoka kwa njia ya haja kubwa, basi yaweza kupanda juu na kufanya presha sehemu au karibu ya moyo na kusababisha maumivu ya moyo.

TIBA: Chukua asali robo lita , unga wa arki susi vijiko vitatu vikubwa na unga wa habat soda vijiko viwili vikubwa. Koroga zote pamoja kwa kijiko. Chukua vijiko viwili vya mchanganyiko huu ukoroge ndani ya kikombe cha maji ya moto halafu yakishapoa unywe kikombe kimoja kutwa mara mbili asubuhi na jioni.

honey with ricorice powder.jpg
 
Back
Top Bottom