BPM
JF-Expert Member
- Mar 10, 2011
- 2,760
- 573
Kuwasiliana nae ndio hivyo ni ngumu, nitajaribu kuwashirikisha watu wake wa karibu.
tumia watu hasa ambao unaamini wanammudu ...
Kuwasiliana nae ndio hivyo ni ngumu, nitajaribu kuwashirikisha watu wake wa karibu.
Sawa mkuu nimekupata.tumia watu hasa ambao unaamini wanammudu ...
Yes mkuu ndio mie namtafuta salvado wangu jamaa anazingua!mzima lkn mkuu!MRS. SALVADO
Wala hata cmpendi tena so sitaweza kuolewa nae,asante kwa ushauri king'asti.
Heee! taratibu mkuu,toa mawazo ya solution ya tatizo!Kwani alishakudo mara ngapi?
Mzalie mtoto, atakukimbia kabisa na hata kufuatilia tenaHuyu jamaa alikuwa mpnz wangu kwa miaka 2, mwaka jana mwezi wa pili akawa amebadilika analewa sn tukawa tunagombana hatimae tukaachana mwezi wa 4 kila mtu akawa na maisha yake, yeye akapata mchumba akaoa, na mie nikawa nadate na mtu kumbe ananifatilia akafuta yule mtu wangu sikujua alimwambia nn,ila mtu wangu akaomba tuachane kwa amani na nisimtafute tena,kwa vile tulikuahatujanza kupeana nikamwacha aende zake na sikujua sababu, ni wiki mbili sasa yule x wangu alieoa ananifuatilia akiniona na mtu ananitumia msg kali na kuniambia atamfanyizia huyo mtu anaetaka kumuibia penzi lake km alivyomfanyia yule niliadate nae baada ya kuachana ndio nikajua yeye alikuwa sababu,sasa jana usiku kampigia dada yangu anamwambia anikanye nisiwe na mpnz yoyote kwan yeye ndie mpanz wangu wa maisha na mimi akanitumia msg hivyohivyo ya kunionya,naomben msaidie nimfanye nn huyu mtu aniache na maisha yangu, nawasilisha.
Ndicho ninachohitaji zaidi,sitaki visasi wala maadui maishani.jitahidi kulimaliza hili tatizo kiustaarabu ili kupunguza madhara baada ya tatizo
Anae mkewe atamzalia.Mzalie mtoto, atakukimbia kabisa na hata kufuatilia tena
Ndicho ninachohitaji zaidi,sitaki visasi wala maadui maishani.
Ninachotaka ni namna ya kumaliza hili tatatizo kati yangu na yeye bila kuhusisha mtu wangu,nifanyeje?BI CANTALISIA MBONA ISHU SIMPO TUU HIYO....naomba unipe nafasi niwe mtu wako japo kwa muda mfupi tuu kisha mpatie namba yangu ili anitishie maisha aone nitachomfanya.. yani kama namwona navyomfanya kitu mbaya na ubabe wake wa kitoto...blallifulli
1.Tangu tumeachana ni mwaka mmoja na miezi 5, na ameanza visa mwezi wa nanne mwaka huu.nashukuru sana ...
- je ni muda gani toka mmeachana nae na kuanza visa ???
- watu wako na wake wa karibu wanalielewa hili sakata???
- je ukiongea na watu wake wa karibu wanasemaje kuhusu kuachana kwenu ??
- je unaelewa maisha yake na familia yake kwa sasa yakoje kimahusiano??
Wala hujaoffend, kiukweli sio km ni mwoga kihivyo,sikutaka kuwa na maamuzi ya kukurupuka ndio maana nimelileta hapa kwa wadau ili nipate mawazo na ushauri kabla sijaamua kufanya lolote, kwan kurudia haitatokea kamwe,na hakuna mtu anapenda kuwa na adui,najua km yeye ndie adui yangu ndio maana natafuta solution niishi kwa amani.cantalisia...sorry kama ntakua naku offend but ni kwa mema tu....apo juu nimeona umesema kama hutaki maadui maishani...n.k....alikua haku abuse while analewa sana enzi zenu?mana una sound kama unauogopa uyo mtu saaaaana or ni mpenzi wako wa kwanza,meaning you lack experience kwenye mambo kama haya(gender equality)...
jamaa ana play rough ,hiyo haikupi nafasi ya wewe kulipiza kuwa rough but ku play your cards in a way ambayo haitapokelewa vizuri na mr.haambiliki.....
Kamwe usitegemee move utakayo ifanya iki involve kum push jamaa away hutopata adui...
Kama hutaki maadui maishani basi mrudie 2 mr.haambiliki(u prove ur inferioritymkwake as usual) opposite to that uyo mr. Ndo ur namba 1 enemy...
1.hakuna ukaribu ni sehemu ya kupanda gari mawili ndio ufike kwa mwingine na ndio maana nashangaa ni kwa namna gani anaweza kunifatilia kwa kiasi hiki.vyema ...
- anapoishi wewe na yeye kuna ukaribu au urahisi wa kuonana?
- je rafiki zake wa karibu unawafahamu hasa ambao married?
- je ni lazima kutumia namba hiyo hiyo??
- huwezi kublock namba yake?
BI CANTALISIA MBONA ISHU SIMPO TUU HIYO....naomba unipe nafasi niwe mtu wako japo kwa muda mfupi tuu kisha mpatie namba yangu ili anitishie maisha aone nitachomfanya.. yani kama namwona navyomfanya kitu mbaya na ubabe wake wa kitoto...blallifulli