Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mwambie humpendi tena hafai kuwa mkeo na unataka kuwa aloneyani ilikua ajari mbaya sana nikajikuta nimeoa mke,ambaye muda mfupi bdae nikagundua hanifai,nakiri nilikurupuka,simmaind *ila yy hajui na sitaki agundue mapema,ananipenda ila me no! so nataka njia ambayo haina mafarakano ya muda mrefu na nikimuacha nisipate lawama mazee watu wote wakubali.*ila kumbuka sbb ya kutaka kumiacha sio tamaa,moyo wangu hauna tabia hazendani,sijisikii kuwa nampenda nk.
[/QUOTE]Umeongea ukweli mtupu mkuu, asikurupuke kumuacha then ajeajilaumu na kutaka kumrudia tena, wakati wake utakuwa umepita.
Kwa kuwa ilikuwa ajali kumuoa, unataka umuache kisa ulikurupuka, hutaki wazee wakasirike, unataka mkeo akusahau baada ya mda mfupi then kill urself, itakuwa ajali pia na utatengana na mkeo bila tabu na utasahaulika after 3 days na mjeo atakaa eda 40 days then atakusahau. Do it and nobody will blame u otherwise unatakiwa uendelee kukaa na mkeo, ulikurupuka au kukurupushwa its up to u...usimwaribie mwenzio lyf...usimpotezee mwenzio muda....na usimtie mwenzio doa la kuachwa...km ulikurupuka kumuoa angalia usikurupuke kumuacha afu bdae ukakurupuka kutaka kumrudia ukakuta umechelewa. IF ITS SWEET OR BITTER U MUST SWALLOW IT CUZ U CHOSE IT.
Hebu niwafafanulie vzuri huyu mke nilichguliwa nilipokwenda kutembelea kjjn kwetu, nilishawishiwa na wkubwa zangu,nikajikuta nimeoa but sikushikiwa bastola ningeweza kumkataa ningependa,ila nilifoswa lazima nirudi na mke kutoka hapo