Jasho la Damu
JF-Expert Member
- Mar 10, 2011
- 956
- 120
- Thread starter
- #21
Dada hapa umeongea la msingiKwel wewe ni mwanaharakat! Lol.,. Kumbe hii nayo ni bahati eeh? Akipata na UKIMWI JE???
Dada hapa umeongea la msingiKwel wewe ni mwanaharakat! Lol.,. Kumbe hii nayo ni bahati eeh? Akipata na UKIMWI JE???
Mimi ni kijana wa kiume nina umri wa miaka 24 nafanya kazi ktk ofisi ya Serikali nisingependa kuitaja kwa usalama wangu. Nimekuwa nikisumbuliwa na bosi wangu wa kike aliyenizidi miaka 9 kiumri na amezaa mtoto mmoja wa kiume lkn hana mume. Bosi huyu anitaka kimapenzi na siku zote huwa ananifanyia visa vya ajabu, utakuta ananitumia msg za ajabu usiku eti anaomba nimpeleke Soda moja na mayai mawili ana hamu nayo sana. Mara nyingine huwa ananipa kazi mpaka jioni ili tubaki wawili tu ofisini na kuanza visa vyak
ha ha ha haaa miaka 33 ni tofauti sana na Bi kiroboto halafu yeye kanenepa kwa nyuma.analipa huyo boss? asije akawa kama yule wa Bungeni pale sijui spika sijui nani?
he he he hee hayo mayai anayotaka anasema yawe meusi na soda yenye maji meupe mazito.Mbona unapata shida hivyo? Mnunulie soda na mayai mawili umpelekee tu, haizidi hata elfu moja.
Dah si unajua haya mambo ni ya kiofisi wazazi hawaplay any significant role labda ingekuwa shuleniungeweza kumshtaki kwa wazazi wako ili wakusaidie... pole sana
Wewe kweli ni Great thinker na si Threat thinker.Huyo boss we mpotezee tu wala asikutishe na cheo chake. Just imagine ndo wewe sasa unamkuta mchumba wako umpendae anakusaliti na kuamua kuzini na boss wake! Utajisikiaje??
hiii nayo ni shida ya kuomba ushauri????????
siku hizi wanaume wanazidi kupungua,wanabaki wavulana tu naona
we king'asti wewe, libaba lizima likashitaki kwa wazazi? Kwanza ana bahati, hafanyi kazi kwa mzungu, anafanya kazi ya serikali, siamwambie tu kuwa hapendi?ungeweza kumshtaki kwa wazazi wako ili wakusaidie... pole sana
Hapa tupo pamoja ila nina shaka sijui kama keshawai kulala kwenye 6x6 maana washazoea vitanda vya ngozi.Kapime nae HIV,kama yupo fresh kunywa VALUU+KARANGA MBICHI+MCHUZI WA PWEZA!! Then Ingia Nae on 6x6!! halafu uje kutupa jibu lake
unamaanisha binti kiroboto?analipa huyo boss? asije akawa kama yule wa Bungeni pale sijui spika sijui nani?
Dah akijua ndo itakuwa shida haswaa maana tukikorofishana kidogo tu reference atakuwa Bosi.Cha msingi kuwa na msimamo. Mweleze mchumba wako.