HUJAELEWEKA HIVI UNATAKA ANYEKUKOPESHA AWE MWAMINIFU , na sio wewe kuwa mwaminifu ,hivi unaishi karne gani weweHabari GT,
Nina uhitaji wa kiasi cha Tsh laki tano...naomba kwa yoyote muaminifu, mwenye uelewa na mwenye uwezo wa kunikopesha ama kuniazima anisaidie nitamrejeshea baada ya mwezi mmoja.
Nitumie private message ama nipigie kupitia 0657101214
HUJAELEWEKA HIVI UNATAKA ANYEKUKOPESHA AWE MWAMINIFU , na sio wewe kuwa mwaminifu ,hivi unaishi karne gani wewe
hahahahahaha! Anashangaza sana.
if it was that much easy ..... mmhhh!
LAT nakutafuta kama mtuhumiwa. Please give a a call.
huyu jamaa ana uhitaji ila kwa mazingira haya ataambulia 'majibu'.