Mamuu55
Member
- Mar 12, 2011
- 44
- 0
Nilikuwa na BF wangu tukapenda sana mpaka tukakubaliana kuona kwenda kwa wazazi wake wakanikataa eti kabila tofauti aoe kabila yake baada ya kuambiwa hivyo mie mapenzi yakapungua kabisa, na yeye aliona akawa hataki kunielewa nikawa nakata mawasiliano kabisa na yeye wala sikumuhitaji tena. Nimepata BF mwingine last year tumependana na tumekubaliana kuoa mwezi wa tisa sasa huyu jamaa kasikia kuwa nataka kuolewa kawaconvince wazazi wake wanikubali kafanikiwa naye kapeleka barua kwetu jana nimechanganyikiwa na maswali yafuatayo:
1. Nifanyeje
2. Kwanini kama kweli ananipenda hakufanya hivyo toka mwanzo kuwaconvince wazazi wake?
3. Mapenzi yangu yako kwa huyu wa sasa maana niko nae karibu mwaka sasa na sitaki kumuumiza
Asante kwa ushauri wenu
1. Nifanyeje
2. Kwanini kama kweli ananipenda hakufanya hivyo toka mwanzo kuwaconvince wazazi wake?
3. Mapenzi yangu yako kwa huyu wa sasa maana niko nae karibu mwaka sasa na sitaki kumuumiza
Asante kwa ushauri wenu