WILSON MWIJAGE
JF-Expert Member
- May 30, 2011
- 276
- 76
Ndugu,
Wakati binti ndogo wa miaka sita (6) anacheza na wenzake alirusha chupa na chupa hiyo ikamgonga na kumgo'a meno mawili mtoto mwenzake wa miaka 7 aliyekuwa anacheza naye.
Swali: Mzazi au mlezi wa mtoto aliyerusha chupa;
1. Anawajibika vipi kisheria?
2. Ni mzigo kiasi gani anapaswa kuubeba?
3. Ni sheria ipi / vifungu vipi atashitakiwa navyo na kumtia hatiani? AU
4. Ni sheria ipi / vifungu vipi vinampa uhuru wa kuwa huru
Nitashukru sana
Wakati binti ndogo wa miaka sita (6) anacheza na wenzake alirusha chupa na chupa hiyo ikamgonga na kumgo'a meno mawili mtoto mwenzake wa miaka 7 aliyekuwa anacheza naye.
Swali: Mzazi au mlezi wa mtoto aliyerusha chupa;
1. Anawajibika vipi kisheria?
2. Ni mzigo kiasi gani anapaswa kuubeba?
3. Ni sheria ipi / vifungu vipi atashitakiwa navyo na kumtia hatiani? AU
4. Ni sheria ipi / vifungu vipi vinampa uhuru wa kuwa huru
Nitashukru sana