Nisaidie kwa hili jamani

WILSON MWIJAGE

JF-Expert Member
May 30, 2011
276
76
Ndugu,

Wakati binti ndogo wa miaka sita (6) anacheza na wenzake alirusha chupa na chupa hiyo ikamgonga na kumgo'a meno mawili mtoto mwenzake wa miaka 7 aliyekuwa anacheza naye.

Swali: Mzazi au mlezi wa mtoto aliyerusha chupa;
1. Anawajibika vipi kisheria?
2. Ni mzigo kiasi gani anapaswa kuubeba?
3. Ni sheria ipi / vifungu vipi atashitakiwa navyo na kumtia hatiani? AU
4. Ni sheria ipi / vifungu vipi vinampa uhuru wa kuwa huru

Nitashukru sana
 
Ndugu,

Wakati binti ndogo wa miaka sita (6) anacheza na wenzake alirusha chupa na chupa hiyo ikamgonga na kumgo'a meno mawili mtoto mwenzake wa miaka 7 aliyekuwa anacheza naye.

Swali: Mzazi au mlezi wa mtoto aliyerusha chupa;
1. Anawajibika vipi kisheria?
2. Ni mzigo kiasi gani anapaswa kuubeba?
3. Ni sheria ipi / vifungu vipi atashitakiwa navyo na kumtia hatiani? AU
4. Ni sheria ipi / vifungu vipi vinampa uhuru wa kuwa huru

Nitashukru sana

Mambo ya watoto ni vyema wazazi mkaa pamoja na mkaelewana kabla ya kutafuta sheria zinasemaje.

My Take:
Inawezatokea pia siku nyingine mtoto wako akamuumiza mtoto wa jirani yako, itakuwaje hapo?
 
Mambo ya watoto ni vyema wazazi mkaa pamoja na mkaelewana kabla ya kutafuta sheria zinasemaje.

My Take:
Inawezatokea pia siku nyingine mtoto wako akamuumiza mtoto wa jirani yako, itakuwaje hapo?

Ndugu,

Ni kweli, ni vema wazazi wakakaa pamoja NA ni kweli mtendewa kosa naye anaweza kutenda kosa na pengine kubwa zaidi ILA nilichokiomba ni kuhusiana na sheria inasemaje.
 
That is Negligence to the side of parents.Wazazi wote wako liable kila mzazi ana "duty to care" her children,hao wazazi wamewaacha watoto wao kucheza na vitu hatari halafu wanashitakiana, na wanajua nature ya watoto kuweza kutofautisha jema na baya.mzazi wa mtoto aliyejeruhi agaramie matibabu.
 
Back
Top Bottom