Nisaidie kujifunza linux..

La Cosa Mia

JF-Expert Member
Feb 11, 2012
271
127
Nategemea kujifunza linux hivi karibuni,kufanya installation na kujifunza command line...mwenye uzoefu naomba anielekeze yafuatayo:
  • Ni distribution gani na version gani rahisi kuanza nayo hasa kujifunzia command line na rahisi katika installation...
  • Natumia Sony VAIO,RAM 3GB yenye windows 7;nataka kuinstall linux bila kuondoa windows 7 ila SONY VAIO zinaletaga matatizo unapodilisha original os uliyonunulia...je kupandishia linux haitasumbua au nifanye ujanja upi...
  • Any tutorial references rahisi kufuatilia...
  • lolote ambalo unadhani ni muhimu kufahamu ....


Shukrani...
 
Nina mwaka sasa toka nianze tumia Linux nimeipenda sana,sina habari tena na mambo ya VIRUS mara ooh file not compatible.
Kinachonifurahisha zaidi ni ile one time instalation unlike window lazima uwe na OS na CD zingine kama za office package.
 
Nina mwaka sasa toka nianze tumia Linux nimeipenda sana,sina habari tena na mambo ya VIRUS mara ooh file not compatible.
Kinachonifurahisha zaidi ni ile one time instalation unlike window lazima uwe na OS na CD zingine kama za office package.

nipe shule kaka...unatumia distribution gani?
 
Mimi natumia Ubuntu 11.10, ninaipenda sana. Tena ina muonekano mzuri. Mimi ni mzoefu sana nina mwaka sasa tangu nianze kutumia ubuntu, nilianza na version 10.04. Jamaa wana muonekano mzuri sana, nakushauri utumie ubuntu 11.10, japokuwa wametoa ubuntu 12.04, inakaribiwa kuachiwa, nitaupgrade tu, maana nawakubali ubuntu ndio OS ya linux ya ukweli. Linux Mint Nayo ni mpya, ila haijaifikia ubuntu mpya. Welcome... kuwa mwanachama wa Ubuntu.

Ila nimesiki window 8 itakuwa haina virus...
 
unadhani ni kwanini kuna untivirus for linux? just heads up
Nina mwaka sasa toka nianze tumia Linux nimeipenda sana,sina habari tena na mambo ya VIRUS mara ooh file not compatible.
Kinachonifurahisha zaidi ni ile one time instalation unlike window lazima uwe na OS na CD zingine kama za office package.
 
Mimi natumia Ubuntu 11.10, ninaipenda sana. Tena ina muonekano mzuri. Mimi ni mzoefu sana nina mwaka sasa tangu nianze kutumia ubuntu, nilianza na version 10.04. Jamaa wana muonekano mzuri sana, nakushauri utumie ubuntu 11.10, japokuwa wametoa ubuntu 12.04, inakaribiwa kuachiwa, nitaupgrade tu, maana nawakubali ubuntu ndio OS ya linux ya ukweli. Linux Mint Nayo ni mpya, ila haijaifikia ubuntu mpya. Welcome... kuwa mwanachama wa Ubuntu.

Ila nimesiki window 8 itakuwa haina virus...

nimetumia almost all versions za linux but am Contented with MINT distros ni nzuri hazistack kama Ubuntu distros
 
Hiyo sentensi ni kituko.

sio kituko ni ukweli ..... na inategemea vile vile na shughuli unazofanya kwenye mashine yako kama we ni kuangalia muvi na kusoma email lazima command line utaisahau na utaembark kwenye graphical part tu
 
Nitakushauri kuangalia youtube videos (at least the first four) za huyu kijana raspberrypitutorials.
napendekeza uanze na Debian GNU/Linux na kwenye hizo videos anakuelekeza jinsi ya ku'install virtual machine ambayo utaweza ku'install linux yoyote ile hapo baadae kama kujifunza au kuona tu muonekano wake.

Pata virtual machine hapa, nadhani hapa ndio mwanzo unaohitaji kuwa na linux running alongside windows...

Mimi nimeinstall Debian GNU/Linux kwa nia ya kuelimika kuhusu raspberrypi.org

Down the road: Nimeshapata kuambiwa kuwa, baada ya kujua command lines zote, inabidi uwajue baba na mama yao sed & awk, kwani hizi mbili ni swiss knife utakayoitumia in a mirriad of ways, kwa hivyo, keep this in the back burner kuwa utajifunza baadae...

Ukishapata environment yako, basi kuna materials kibao online za kujifunza hizo command lines hadi scripting and system management.

All the best...
 
mi napendelea sana kutumia command line kufanya several administrative functions kwenye Linux yangu
"napendelea" ndio operative word hapo, unapenda tu, lakini ni useless. Kuna Graphical user interface, command line interface imepitwa na wakati from end user context.
 
Ubuntu wameiharibu na Unity interface ndo maana watu wanakimbilia Mint.
Na kuna vitu vingi unaweza kufanya kwenye shell ambavyo hauwezi kwenye GUI, ila ni kwa advanced users sio kwa kubrowse net na kuangalia Facebook.
 
Facebook inaangaliwa kwa ku browse nini, local hard drive? "Advanced users" wengine bana!
 
Nitakushauri kuangalia youtube videos (at least the first four) za huyu kijana raspberrypitutorials.
napendekeza uanze na Debian GNU/Linux na kwenye hizo videos anakuelekeza jinsi ya ku'install virtual machine ambayo utaweza ku'install linux yoyote ile hapo baadae kama kujifunza au kuona tu muonekano wake.

Pata virtual machine hapa, nadhani hapa ndio mwanzo unaohitaji kuwa na linux running alongside windows...

Mimi nimeinstall Debian GNU/Linux kwa nia ya kuelimika kuhusu raspberrypi.org

Down the road: Nimeshapata kuambiwa kuwa, baada ya kujua command lines zote, inabidi uwajue baba na mama yao sed & awk, kwani hizi mbili ni swiss knife utakayoitumia in a mirriad of ways, kwa hivyo, keep this in the back burner kuwa utajifunza baadae...

Ukishapata environment yako, basi kuna materials kibao online za kujifunza hizo command lines hadi scripting and system management.

All the best...

thanx mkuu,nimepata shule hapa.....
 
"napendelea" ndio operative word hapo, unapenda tu, lakini ni useless. Kuna Graphical user interface, command line interface imepitwa na wakati from end user context.

Tell us and what about from advanced user context ?????????.
 
"napendelea" ndio operative word hapo, unapenda tu, lakini ni useless. Kuna Graphical user interface, command line interface imepitwa na wakati from end user context.

Anheuser,
Hiyo conclusion yako inaonyesha kuwa labda hujui unachosema au you just ignorant.
Search hapa hapa JF solutions to common problems ambazo watu wanauliza, mfano: USB yangu haionekani kwenye windows... na najua jibu litahitaji kupekua command line interface kuweza kufanya troubleshooting, na conclusion sana sana huwa, "I wish I knew how to use command line". Hata kwa end user hii knowledge inahitajika na kusema is useless inaonyesha kuwa labda bado mchanga sana kwenye ukumbi wa IT au pengine umekubali tu kuwa end user.
 
Back
Top Bottom