Kaa la Moto
JF-Expert Member
- Apr 24, 2008
- 7,903
- 1,053
Wakuu nimenunua hii modem ya huawei e1550 ya Zain/airtel na nimeweka line ya airtel.
Lakini kila nikijaribu ku connect inaniambia "The SIM/USIM card not been detected or invalid" wakati inaniambia hivyo card iko ndani. Nimeweka na card ya simu yangu ninayotumia bado napata same message. Je nifanyeje? Najua hapa kuna wenye vichwa vikali na nitasaidiwa haraka.
Lakini kila nikijaribu ku connect inaniambia "The SIM/USIM card not been detected or invalid" wakati inaniambia hivyo card iko ndani. Nimeweka na card ya simu yangu ninayotumia bado napata same message. Je nifanyeje? Najua hapa kuna wenye vichwa vikali na nitasaidiwa haraka.