Wisdom youlth
Member
- Sep 14, 2011
- 73
- 17
Ni kama week ya pili sasa tangu nitoke nyumbani TANZANI nakufika hapa LUSAKA ninajisikia homa kali kali nikajua ni maralia nimekunywa dawa Sp, bado najisikia vibaya mbaya zaidi miguu inakua inawaka moto kinywani najisikia uchungu nakosa choo ni week 2 sasa jamani naombeni msaada.