Nisaidie jamani

Wisdom youlth

Member
Sep 14, 2011
73
17
Ni kama week ya pili sasa tangu nitoke nyumbani TANZANI nakufika hapa LUSAKA ninajisikia homa kali kali nikajua ni maralia nimekunywa dawa Sp, bado najisikia vibaya mbaya zaidi miguu inakua inawaka moto kinywani najisikia uchungu nakosa choo ni week 2 sasa jamani naombeni msaada.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom