Karibu sana Arusha mkuu. Young Master at your service. If you need anything you know where to find me.
Ngoja nitakuwa makini na hizo alama ulizonipa. Atakuwa anasinzia au amelala. Ana mpango wowote wa kugombea umiss Ar au aliwahi kushinda?
Mr Rocky nilikuwa busy sana leo
Vipi ushampokea mgeni?
Ngoja nitakuwa makini na hizo alama ulizonipa. Atakuwa anasinzia au amelala. Ana mpango wowote wa kugombea umiss Ar au aliwahi kushinda?
Mr Rocky nilikuwa busy sana leo
Vipi ushampokea mgeni?
hahahahaha..uji wa shanga umenikumbusha nikijaga huko lazima nifuate palee...kwa yule mama..hahahaha@Preta..mkuu Mr Rocky nawe unapigaga uji wa shanga...?
mimi mwenyewe nikijaga huko huo uji lazima kaka...niutafutemtu chake ni lazima mkuu
yaani ukae arusha halafu bila kupiga kitu cha uji wa shanga
mtamu mbaya
Huo uji inaonekana ni mimi tu ndio nitafanya tukio la ajabu kukaa Ar bila kuunywa! Nishtueni unapatikana wapi?
mimi mwenyewe nikijaga huko huo uji lazima kaka...niutafute
Ulizia mitaa ya shule ya sekondari bondeni mkuu
Mitaa hiyo ndiko kunauzwa uji wa shanga na vitumbua vitamu balaa
Na kuku wa rangi aise watamu balaa
au aende mtaa wa pangani pale maeneo ya shule ya Meru....au majengo ya town....
..ucjari bebii..tutaenda wote...kula uji wa shanga...hahahahahahaha hapo katika BOLD..​bebi....ukiwa unaenda kunywa uji lazima twende wote....hukawii kuoa mtoto wa mama muuza wewe....nakujua sana....
..cwezi bebi..ila tutaenda wote...nakuja next weekbebi....ukiwa unaenda kunywa uji lazima twende wote....hukawii kuoa mtoto wa mama muuza wewe....nakujua sana....
jamani nimesubiri stand more than 18 hours sijamuona mgeni
Basi niPM nikuelekeze napatikana AR sehemu gani.