St. Paka Mweusi
JF-Expert Member
- Sep 3, 2010
- 7,637
- 4,521
Halafu wale samaki wanakusubiri ujue
Nakuja mama nakuja,na madhiwa si unayo......
Halafu wale samaki wanakusubiri ujue
Nakuja mama nakuja,na madhiwa si unayo......
Hujaacha vituko tu mama? Sikuwezi!
hahahahahahahahahahahahaha nimecheka sana halafu nagundua kuwa leo ni 31/12/2010kama hatutakiwi kunywa na kuendesha kwa nn bar kuna car parking?
hahahahahahahahahahahahaha nimecheka sana halafu nagundua kuwa leo ni 31/12/2010
mambo ya kiduku!!
Mhh huyo bonge kama anacheza mayenu na yule mwingine kama anapaa hewani
ndio kiduku hicho cweeet heart
Haaa haaa Mkuu sikujua kuwa uko kazini. Binti mwenyewe yuko IN DA HOUSE utaweza? Good Luck!
Nawe pia mpendwaHeri ya mwaka mpyaaa:teeth:
Tupo pamoja Maria ila kati ya hao sijaelewa wewe ni yupi?
Mwaka mpya mwema na wenye mafanikio hakika kumbuka kuwa kumaliza mwaka ni kazi kubwa hivyo tujipange kuanza mwaka 2011 kwa upendo na amani
Maria umeamua kunianika hivi sawa bana basi walau hata kuficha plate number umeshindwa? Yaani wazi wazi peupeee
Yaani ingekuwa Tanzania kuna ile database ya kujua hizo plate number duh sijui ingekuwaje?
Usijali swetie mie na ww hawawezi kujua kama wewe ni huyo bonge au kimbau haha hahaaaa ila ulikuwa chicha siku ile unakumbukaaaa:whoo::whoo::whoo:
Give me a chance Maria naenda kukununulia zawadi ya New year sasa hivi narudi:car::car::A S-heart-2: